Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Kwani kufa kwa UKIMWI ni haramu? Zote ni njia zetu wote!Acha upuuzi wa kupotosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kufa kwa UKIMWI ni haramu? Zote ni njia zetu wote!Acha upuuzi wa kupotosha
Kwako wewe legacy ni nini?Legacy hipi? Kwa hierarchy ya Tanzania alikuwa mdogo sana! Ni kama mchumba tu!
MHUBIRI 2:16Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Wanakujaga watu na suti nyeusi,...wanakubeba kimya kimya wanaenda kukutupa stoo,..mpaka shughuri itakapoisha,...🥲😥😭😭Mimi nikiamua kuhudhuria na kukaa siti za karibu na mbele kuna muongozo wowote
🤔MHUBIRI 2:16
Maana hakuna kumbukumbu la milele la mwenye hekima, wala la mpumbavu; kwa sababu siku zijazo wote pia watakuwa wamekwisha kusahauliwa. Na mwenye hekima, jinsi gani anavyokufa sawasawa na mpumbavu!
Wewe pia haukuwa mnyonge kwenye shughuli hiyo ama ndiye mnyonge pekee uliyehudhuria?Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Hivi yeyote anaweza kuwa hayati kumbe?hayati
Mbona watu wanaogopa kuutaja ukimwi kama chanzo cha kifo?!Kwani kufa kwa UKIMWI ni haramu? Zote ni njia zetu wote!
Saratani ni moja ya magonjwa nyemelezi kwa watu wenye udhaifu wa kinga ya mwili.Haiishindi saratani iliyomuua. HIV unakula vidonge na unadunda, niambie saratani ina dawa gani kama si kufa ukijiona?
Maskini ana nafasi ndogo sana kwenda mbinguni. Trust meNi ngumu sana tajiri kupenya huko
Sawa sawa sababu kutwa anasaga sumu 😉Maskini ana nafasi ndogo sana kwenda mbinguni. Trust me
Lukemia siyo HIV, usilete mambo ya hayati Mtikila.Ila HIV ni shida Kwa sasa
Wanadhani HIV ingemuondoa kirahisi hivyo. Watu wana HIV na ni mafukara na wanadunda miaka. Achana na kansa, tena tuombe itupitie mbali. Hakuna ugonjwa unatesa kama ule. Bora yeye kaugua muda mfupi. Nimeuguza dada yangu na kansa ya ziwa, alikuwa anatamani kufa kuliko kuwa hai.Lukemia siyo HIV, usilete mambo ya hayati Mtikila.
Hizi ndizo pressures za kuwafanya watu waibe, halafu wakiiba mnawaita mafisadi.Kuna kiongozi mmoja kutoka ofcn kwetu baada ya kutoka kule Karimjee mshkaji mmoja akamuuliza mbona hawajasafirisha kwenda kuzika kwao, alichotuambia tu namnukuu "Jengeni kwenu, jengeni kwenu" mwisho wa kunukuu!!
Wanadhani HIV ingemuondoa kirahisi hivyo. Watu wana HIV na ni mafukara na wanadunda miaka. Achana na kansa, tena tuombe itupitie mbali. Hakuna ugonjwa unatesa kama ule. Bora yeye kaugua muda mfupi. Nimeuguza dada yangu na kansa ya ziwa, alikuwa anatamani kufa kuliko kuwa hai.
sawa ila tajiri hata hiyo nafasi ndogo hanaMaskini ana nafasi ndogo sana kwenda mbinguni. Trust me