Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaburi tumelichimba sisi wanyonge.Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Ni ngumu sana tajiri kupenya hukoAna asilimia kubwa sana ya kwenda moja Kwa moja
Lakini kafa ............mwendazake ,mkapa ,nyerere waliagwa na watanzania wote kuanzia matajiri mpaka masikini lakini.........lakini ndio hivyo burianiLeo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Kwa hiyo wewe punda ulitaka waandikeje?Mwananchi wameandika marehemu alifariki na ugonjwa wa kansa ya damu.
Acha kupotosha
Ndo namshangaa hapa!Kwa hiyo wewe punda ulitaka waandikeje?
Hivi mtu anapata faida gani kuzushia mtu ugonjwa? Sijui alimpima yeye au la. Anajuaje kama alikuwa na HIV?Haiishindi saratani iliyomuua. HIV unakula vidonge na unadunda, niambie saratani ina dawa gani kama si kufa ukijiona?
Hakuna cha maana hapo hata angekuwepo bill gate na elon musk ni show off tu. Huyo Kafa tu kama tu raia wa mbagala na vingunguti nothung specialLeo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Ni kweli kunaugumu Kwa tajiri ila masikini ndo hawawezi penya kabisa kwasababu ya wivu, kutojua kushukuru na tamaa.Ni ngumu sana tajiri kupenya huko
Acha upuuzi wa kupotoshaKwa hiyo wewe punda ulitaka waandikeje?
uko sahihi masikini wanaweza kuwa wambea, tamaa, masengenyo na mengine ila matajiri damu nyingi za watu zinawalilia hasa hawa wanasiasa na wafanyabiashara wakubwaNi kweli kunaugumu Kwa tajiri ila masikini ndo hawawezi penya kabisa kwasababu ya wivu, kutojua kushukuru na tamaa.
Mlimpima mbuzi nyie.Kumbe ni ukimwi ulimuondoa!?
ataenda Lucas Mwashambwa kutoa machozi ya huzuni.Kufa na ww tuje.
All the best
Legacy hipi? Kwa hierarchy ya Tanzania alikuwa mdogo sana! Ni kama mchumba tu!Atakayekuwa anapasuka shimoni siyo yeye. Yeye halisi ni legacy aliyoiacha, msijisahaurishe mkajidanganya kuwa ameondoka. Pambaneni na legacy yake
Kuna kiongozi mmoja kutoka ofcn kwetu baada ya kutoka kule Karimjee mshkaji mmoja akamuuliza mbona hawajasafirisha kwenda kuzika kwao, alichotuambia tu namnukuu "Jengeni kwenu, jengeni kwenu" mwisho wa kunukuu!!Leo hayati Mafuru aliagwa rasmi na kiongozi wa kuaga alikuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Ukigeuka huku kuna Joseph Kusaga, ukitazama kule kuna GSM, ukishangaa shangaa kuna Mawaziri, ukiinuka kidogo kuna Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, mara unamuona Jenerali Nkunda, kwa mbali unamuona CEO wa Kempinski na wengineo wa kariba hiyo.
Hakika kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake!
Mafuru na chawa ilikuwa to different thus huezi sikia chawa yyt khs Mafuru!!ataenda Lucas Mwashambwa kutoa machozi ya huzuni.
Yaani sijui alitaka mwananchi aandike ukimwi ndiyo aamini?Ndo namshangaa hapa!