Msiba wa Mafuru wa leo Karimjee sijaona mnyonge

Hivi mwinyi aliegusa udongo mwanzo mwisho nae alikuwa kapuku et
 
Hakika alikuwa mtu wa watu.
 
CEO wa Kempinski ipi ndugu?
Maana hakuna Kempinski Tz bara na visiwani.
 
Treasure education?

Mkuu unafanya exaggeration ya kufa mtu.

Jamaa alimaliza IFM,diploma,thats it,hakuna kingine zaidi na mitihani ya bodi

It means,hakua na akili za darasani kiivyo,ni acadmically average sana

Kuhusu NBC,jamaa alijipaisha sana kwa jamaa wa ABSA wa SA wakaingia mkenge wakampa NBC awe CEO,sema uwezo wake ni mdogo,ikamshinda akafukuzwa

Jamaa bla bla anaziweza na kujipozisheni ndio maana serikalini alikua anapata position sababu ya piga domo.

Kampuni binafsi hawataki ngenga, NBC ilimshinda,hakupewa kampuni ingine yeyote,benki yeyote,voda,airtel,etc...walimjua maneno mengi uwezo mdogo..alikua anajua kukuza persona yake ila in reality jamaa IQ sio kiivyo

Tofauti kabisa na Mchechu
 
Aiseeee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…