Msichana Aliyelia Kwa Kumwona Uhuru, aalikwa Statehouse

MwendaOmo

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
774
Reaction score
723
Mnamkumbuka yule msichana aliyelia kwasababu alimwona Rais kwa macho. Hivi leo kaalikwa kwenye Ikulu na kuketi kwenye kiti cha Rais.
I hosted two standard eight pupils, Esther Mwikali and Pauline Keziah, from Komaranch Primary School at State House, Nairobi. I met them after launching the 'Last Mile Connectivity Project' in Katulu and invited them to visit State House.

 
Je kiti hicho bado anakitumia au alikibadilisha immediately baada ya watoto kuondoka kwa office ya mtukufu rais
 
ipo complicated so kwa macho ya kawaida unaweza kuiona kama ofizi za saccos ila ukweli ukiambiwa moja ya hizo sanamu ni kitasa cha mlango wa kuingilia ofisi pacha na hiyo usishangae....
mbona vitasa vipo? na hizo ni sanamu za marais waliomtanguia. hatakubali sanamu ya nbaba yake kuwa kitasa
mm naona kuna ash-tray pembeni ya bendera ni ya nini

 
ipo complicated so kwa macho ya kawaida unaweza kuiona kama ofizi za saccos ila ukweli ukiambiwa moja ya hizo sanamu ni kitasa cha mlango wa kuingilia ofisi pacha na hiyo usishangae....

Duh! utakua wewe usalama wa taifa ila humu umejificha ficha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…