Msichana Aliyelia Kwa Kumwona Uhuru, aalikwa Statehouse

Msichana Aliyelia Kwa Kumwona Uhuru, aalikwa Statehouse

JK kafanya zaidi ya hilo, ukiwa msanii tu jua kwenda ikulu kwako ni easy
 
Ndugu zangu watanzania mnakuwa very superficial, that is one thing I have always observed about some of you folks, mnapenda ku judge mtu from how he looks not what he has between his ears, badilisheni hii tabia aise.

chief...ndo attribute ya waafrica na kumbuka extra marital ni tradition...yote mawili yanawezekana
 
chief...ndo attribute ya waafrica na kumbuka extra marital ni tradition...yote mawili yanawezekana

Kweli kabisa. lakini ukipata mzee mzima ana ana judge mtoto mdogo kwa sura, ati amekomaa, and the likes, jua kuna tatizo kwenye uma huo, hakuna wakumkosoa? Ukimsema Uhuru hapo hakuna noma, lakini msichana mdogo unatoa judgment, hapo sipo aise.
 
Hahaaq. My number one fan.

Toa tender uone.
Mimi sina ila mhindi mmoja hapa Moshi kamalizia nyumba yake shanty town anatafuta "interior designer of international standards.Mhindi mtata sana huyu, hutowezana naye!
 
hahaha thats y you need an xtra eye to see that...
its all about intelligence
they can do anything to blind people and put things undercover.
sasa ndio nimeona vizuri kuna simu za mezani za KUBOFYA nyeupe na moja nyeusi ya kuzungusha kumbe bado zinatumika
hapo mbele km sio lensi ya kusomea basi ni ASH-TRAY
lakini bado nakataa etu sanamu ni vitasa wakati hiyo ya kwanza kulia ni ya Baba yake
11390224_1073993089295910_8970979990890801947_n.jpg
 
Mimi sina ila mhindi mmoja hapa Moshi kamalizia nyumba yake shanty town anatafuta "interior designer of international standards.Mhindi mtata sana huyu, hutowezana naye!

Nah. Not my kind of thing hun. Thanks and Goodnight.
 
Dah!! hiyo kali, itamsisimua sana kimaisha. Huyu hapa.

11214123_10207543256607928_3772363716264122243_n.jpg

yaan mpaka nahisi maumivi ya moyo........inaelekea huyu mtoto alitaman tokea miaka mingi sana kukutana na rais na hakuamini kama kweli amekutana na rais

Nimeupenda sana moyo wake
 
Kweli kabisa mkuu lazima angekamatwa na adhubu juu amekatisha safara wa rais chezea tz ww
 
Hivi wewe unafahamu watu wangapi wametamani kukalia hapo, hadi hata wameua sana ili angalau wapafikie tu.

ndo maana UHURU anasema (shoot to kill )ili aendelee kukalia kiti,uhuru kauwa wakenya wengi sana huyu mkikuyu,coast hapendwi
 
Hata marais wa USA wanafanya hivi mara kwa mara. Kwa tanzania kuna uchawi sana hawatjubutu kufanya hivi. JK kwanza anatembea na kiti chake

Anaendaga wapi na kiti mkuu?!,..you can never go wrong with JF.....lol!
 
Kweli kabisa. lakini ukipata mzee mzima ana ana judge mtoto mdogo kwa sura, ati amekomaa, and the likes, jua kuna tatizo kwenye uma huo, hakuna wakumkosoa? Ukimsema Uhuru hapo hakuna noma, lakini msichana mdogo unatoa judgment, hapo sipo aise.

Kula like nyingine mkuu!
 
Huyo mtoto angealikwa na J.K ungeshuhudia watu watakavyochafua hali ya hewa humu


Angealikwa na JK na kweli akaitikia wito akaaenda basi huyo.... "angekuwa ameponzwa na kiherehere chake mwenyewe"🙂
 
Back
Top Bottom