Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Dah!! hiyo kali, itamsisimua sana kimaisha. Huyu hapa.
Hata marais wa USA wanafanya hivi mara kwa mara. Kwa tanzania kuna uchawi sana hawatjubutu kufanya hivi. JK kwanza anatembea na kiti chakembona vitasa vipo? na hizo ni sanamu za marais waliomtanguia. hatakubali sanamu ya nbaba yake kuwa kitasa
mm naona kuna ash-tray pembeni ya bendera ni ya nini
Not only the face but mind also
Sasa hiyo ofisi ya rais mbona imekaa kama ofisi za saccos
Hhahahaaa Aiseee mbona wanafanana hivyo? angalia hayo macho yao na nyuso zao, isije ikawa ni tunda la ndoa ya nje
For the case of mind they are not at all.
mbona vitasa vipo? na hizo ni sanamu za marais waliomtanguia. hatakubali sanamu ya nbaba yake kuwa kitasa
mm naona kuna ash-tray pembeni ya bendera ni ya nini
aisee we jamaa!!Wakenya sura zenyu zimekomaa cheki huyo binti anaedaiwa kuwa std 8 utafkir bibi ya miaka 35!!!!?!!
Duh! utakua wewe usalama wa taifa ila humu umejificha ficha tu.
Kumbe kwenye hizi mambo upo?Interior decorator wa State House arudi nyumbani niitwe mimi.
Dsh.
President Uhuru is one of the African Presidents who are doing well. I don't have the source but I heard somewhere he has now outsmarted President Kagame of Rwanda. JK yeye yupo yupo tu kazi kulewa sifa za kijinga...Rais wa kwanza wa bara la Afrika kusalimiana na Obama...so what..??
vipi we mdau wa alshabau upo?Dah!! hiyo kali, itamsisimua sana kimaisha. Huyu hapa.
Hata marais wa USA wanafanya hivi mara kwa mara. Kwa tanzania kuna uchawi sana hawatjubutu kufanya hivi. JK kwanza anatembea na kiti chake