Msichana huyu Single Mother ana nyota kali sana. Juzi nimekutana naye jana nimeingiza sales Milioni 27 dukani kwangu Kariakoo

Samahani Sana usituseme wanaume huyu aliyeleta uzi ni kijana /boy bado hajakua hajui maisha yapoje na mzunguko wake kiujumla.
Wanaume huwa tunawaelewa wanawake wote bila kujali sijui single mom kwani kuna single dady jamani.
 
Mungu akusamehe sana,huenda ulichokiandika hapa hukijui.
 
Tushasema sana hawa watu ni janga la taifa ukiacha umasikini na ujinga.
 
Novel za James Hadiley Chase, zilinipoteza sana nikajiita HIT AND RUN
 
na bado wanaweka standards wasiokuwa na hadhi nazo
nawaangalia wanaowatetea
Hapa napokaa kunajamaa kaoa single mother kwakweli anapata shida maana mkewe anamegwa sana na masela na baba mtoto pia aka badu.single mother ni janga la kitaifa
 
mkuu katika hili mimi siwezi laumu huyu single mum au huyu dume aliyekimbia, unajua nini, unaweza patia mtoto wa watu mimba, kisa hukuwa tayari kuoa, ni katika ile starehe yenu, lakini iwe hukuwa umekaa nae sana kabla ya kupata uja uzito, akisapata hii mimba ndio muda unajua tabia zake, hata unagudua alikuwa anacheat akiwa na mahusiano na wewe, sasa unaamua tu kumuacha , na wakati wingine, nimesema wakati wingine huna uhakika hio mimba ni yako na pia binti ako na masaka kaa ni yako au ni ya wingine, so mkuu sio kila mwanaume anaweza laumiwa kwa kumuacha mtu akiwa single mother, blessings
 
taratibu dada yangu, bona uko na machungu kibao hivyo, mimi pia sikubaliani moja kwa moja na mtoa mada, sikubaliane nae 100% ila kila mwanamke ni kweli apewe hesima yake kwanza kaa binadamu, pili kaa mtu aliyeumbwa na mungu aliyetuumba zote, lakini in life you have to have ADAPTABILITY,and FLEXIZERBILITY, yaani kuna muda hali inabidi usuke steps kadhaa chini, hope you get my point, mimi mweyewe sina ubaya wowote na single mothers, they are our daughters, sisters, aunties and such, but they have at times have to live with the reality, hope i am well understood, barikiwa dada
 
Single mother mnataabu kweli

Standards za nini wakati huna cha kupoteza zaidi uonewe huruma?
Utoto tu unakusumbua mi sio single maza lakini naona umekuja na topic ya kipuuzi sana
 
Uko sahihi kabisa,,,Mungu ana vitu vyake bwana nimeshalishuhudia hili hili likijibiwa.,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…