Mbuna Senior
Member
- Aug 2, 2016
- 55
- 125
Wenye uzoefu na mabinti wenye type hiyo tupeni sifa na changamoto zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari hao. Hawana la kupoteza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Atajuta mbona
ha ha ha, noma sanavipelepele
Sasa unafanya uzinzi alafu unaogopa magonjwa 🤣🤣🤣🤣Ni kweli kabisa 🤝🤝ila kwa hali ya sasa tahadhari muhimu
🤣🤣🤣🤣 kuishi kwa matumaini inataka moyo sanaSasa unafanya uzinzi alafu unaogopa magonjwa 🤣🤣🤣🤣
Go full throttle hamna nusu dhambi. Ukiamua kufanya dhambi ifanye kikamilifu
🤐🤭Bora hata hao mara mia kuliko mindungayembe ya makanisani,Demu mlokole wa 2022 lazima nipige na condom.
Sasa unafanya uzinzi alafu unaogopa magonjwa 🤣🤣🤣🤣
Go full throttle hamna nusu dhambi. Ukiamua kufanya dhambi ifanye kikamilifu
Pamoja na yote hawa mademu ni wadangaji ila akitokea kukuelewa muhuni matatizo hapo ndipo yanapoanzia [emoji16]Fanya upuuzi wote ukikutana nao ila epuka haya
Usimkaribishe ghetto kwako maana kama ni pazuri ataanza kuamia taratibu taratibu na akikuona unajiweza vizuri anakuwa king'ang'anizi hakuachi ng'o na atakuwa anakuja bila taarifa na kuachana kwake ni vita maana ishakula kwako ,pia wanakutegeshea mimba kutafuta unafuu wa maisha pia hawakawii kukutengenezea mimba feki wakuchomoe hela baadae wakwambie imeharibika
Usijieleze undani wako
Ndugu zangu namaanisha kabila lako majina yako jina la mama ndugu zako walipotoka maana ukisikia kutengenezwa kwa ndumba ndio huko au kama ndugu wapo karibu na ndio kakuelewa basi watajitambulisha maksudi akijua rafiki zako mbona watamfahamu tu kama ni Shemu na wahuni watakuona wa ajabu kula kitu kama hicho
Hakikisha unapafahamu kwao
Kiujanja janja bila hata yeye kujua na ajue unafahamu kwao hii kama itasaidia asikuletee balaa kama utamzingua
Usimuache ghetto pekee yake
Hapa sina maelezo marefu wahuni wanaelewa
Nachakupendea mama D ni kwamba huajakata tamaa kuwa ipo siku nitaondoka kwenye mikono ya shetani. Unanitia moyo sana tuu. I appreciate that.Swahiba!!!!!!
Shetwani kakung'ang'ania ila najua Mungu wetu atakushindia
Kila mtu ana mpambano wake na kwa imani kila mtu mwenye imani atashinda. Ni muda tuu
Tuma nauli akija niite mbwa nimekaa pale🦦🦦Wenye uzoefu na mabint wenye type hiyo tupeni sifa na changamoto zao
Hao tumia NDOM!Wenye uzoefu na mabint wenye type hiyo tupeni sifa na changamoto zao