Msichana mwenye bleach kichwani dela kikuku mguu wa kushoto na sendoz ya manyoya

Msichana mwenye bleach kichwani dela kikuku mguu wa kushoto na sendoz ya manyoya

Nachakupendea mama D ni kwamba huajakata tamaa kuwa ipo siku nitaondoka kwenye mikono ya shetani. Unanitia moyo sana tuu. I appreciate that.

Yupo anayeweza kukubadilisha na ni mmoja tuu. Wengi wetu tuliokutana nae tunajua mziki wake. Nami nakuombea akutane na wewe🙏



WARUMI 7: 14-25
14 Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.
17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu
18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,
23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.
 
Nachakupendea mama D ni kwamba huajakata tamaa kuwa ipo siku nitaondoka kwenye mikono ya shetani. Unanitia moyo sana tuu. I appreciate that.
Mzab unazingua bahari motoni hakutanoga bile nyie wanangu wewe na anasbo

Kule ni full kuvimba hadi majogoo party after party waimbaji singeli , kule wadau na madada wa nude party zile za tabata kama wote madada wa telegram na escort Kama wote

Achana na huyo mama D
 
Mzab unazingua bahari motoni hakutanoga bile nyie wanangu wewe na anasbo

Kule ni full kuvimba hadi majogoo party after party waimbaji singeli , kule wadau na madada wa nude party zile za tabata kama wote madada wa telegram na escort Kama wote

Achana na huyo mama D
mama D njoo umchape huyu jamaa anataka kunirudisha motoni kwa shetani.
 
Yupo anayeweza kukubadilisha na ni mmoja tuu. Wengi wetu tuliokutana nae tunajua mziki wake. Nami nakuombea akutane na wewe[emoji120]



WARUMI 7: 14-25
14 Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.
17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu
18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,
23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.
[emoji1785][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Mzab unazingua bahari motoni hakutanoga bile nyie wanangu wewe na anasbo

Kule ni full kuvimba hadi majogoo party after party waimbaji singeli , kule wadau na madada wa nude party zile za tabata kama wote madada wa telegram na escort Kama wote

Achana na huyo mama D
mama D njoo umchape huyu jamaa anataka kunirudisha motoni kwa shetani.

Ukitoka huko atakua wa kwanza kukufuata 🙏
 
Yupo anayeweza kukubadilisha na ni mmoja tuu. Wengi wetu tuliokutana nae tunajua mziki wake. Nami nakuombea akutane na wewe[emoji120]



WARUMI 7: 14-25
14 Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.
17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu
18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,
23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.
Dah,warumi washavamia tayari.
 
the way nilivyowadharau wanawake wenye vikuku na vijora, ndivyo nilivyowadharau wanawake waimba taarabu. huwa naamini wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile, malaya, wachafu, wavivu, maneno meeengi ya kukujazia nzi, hawana elimu wala uwezo wa kufikiri zaidi ya kupenda ngono na kula ubwabwa tu. nyumbani kwangu mke wangu hana kijora na hawezi kununua kwasababu havipendi pia.
 
Back
Top Bottom