Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nachakupendea mama D ni kwamba huajakata tamaa kuwa ipo siku nitaondoka kwenye mikono ya shetani. Unanitia moyo sana tuu. I appreciate that.
We unafaa kwa matumizi ya muda wote[emoji1787]Nina breach kichwani, nimevaa kijora sina kikuku sina sendo za manyonya [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuandika sijui ila nashukuru umeelewa kuwa ni mademu bumbaaaav zako hiyo suo dela nini maana yakeBleach na sii breech, sandles na sio sendoz dera na suo dela. Hao madem ndio type yako maana hata kuandika hujui
Sina ila wanaoweka ni wanawake wema pia ...Sema inafuatana na tabia yakeMimi mwenyewe sipendi breach, naamini baby wangu huna hizo swaga
Ugumu wa maisha kwa watu km hao Huleta matatizoOa weka ndani huwa tunajiamini sana .
Nimechekaaa😂😂😂Kijora cha chuichui[emoji23]
Mzab unazingua bahari motoni hakutanoga bile nyie wanangu wewe na anasboNachakupendea mama D ni kwamba huajakata tamaa kuwa ipo siku nitaondoka kwenye mikono ya shetani. Unanitia moyo sana tuu. I appreciate that.
mama D njoo umchape huyu jamaa anataka kunirudisha motoni kwa shetani.Mzab unazingua bahari motoni hakutanoga bile nyie wanangu wewe na anasbo
Kule ni full kuvimba hadi majogoo party after party waimbaji singeli , kule wadau na madada wa nude party zile za tabata kama wote madada wa telegram na escort Kama wote
Achana na huyo mama D
[emoji1785][emoji2961][emoji2961][emoji2961]Yupo anayeweza kukubadilisha na ni mmoja tuu. Wengi wetu tuliokutana nae tunajua mziki wake. Nami nakuombea akutane na wewe[emoji120]
WARUMI 7: 14-25
14 Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.
17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu
18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,
23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.
Mzab unazingua bahari motoni hakutanoga bile nyie wanangu wewe na anasbo
Kule ni full kuvimba hadi majogoo party after party waimbaji singeli , kule wadau na madada wa nude party zile za tabata kama wote madada wa telegram na escort Kama wote
Achana na huyo mama D
mama D njoo umchape huyu jamaa anataka kunirudisha motoni kwa shetani.
Wacha bhanaWe unafaa kwa matumizi ya muda wote[emoji1787]
Dah,warumi washavamia tayari.Yupo anayeweza kukubadilisha na ni mmoja tuu. Wengi wetu tuliokutana nae tunajua mziki wake. Nami nakuombea akutane na wewe[emoji120]
WARUMI 7: 14-25
14 Kwa maana twajua ya kuwa torati asili yake ni ya rohoni; bali mimi ni mtu wa mwilini, nimeuzwa chini ya dhambi.
15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda.
16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema.
17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu
18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.
19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya.
22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,
23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu.
24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.
Nitapenda kukuona ukiwa na bleach...Ngoja niweke jirani