Msichana mwenye bleach kichwani dela kikuku mguu wa kushoto na sendoz ya manyoya

Msichana mwenye bleach kichwani dela kikuku mguu wa kushoto na sendoz ya manyoya

Nitapenda kukuona ukiwa na bleach...

katikati bleach alafu pembeni zinakua nyeusi, napenda mwanamke awe hivyo...
Walimu wa dar wanaweka? Mwalimu na marangi mengi kichwani huku mkoani ni nongwa.Kwa ushauri mwambie huyo jirani niliyemkuta anakuhudumia aweke bleach kama upendavyo.Mi mpitaji tu
 
Walimu wa dar wanaweka? Mwalimu na marangi mengi kichwani huku mkoani ni nongwa.Kwa ushauri mwambie huyo jirani niliyemkuta anakuhudumia aweke bleach kama upendavyo.Mi mpitaji tu
Usikasirike jirani... Hahahah...
Ukiwa likizo weka bleach... Mpaka likizo ikisha zitakua zishaota... hahaha
 
Fanya upuuzi wote ukikutana nao ila epuka haya


Usimkaribishe ghetto kwako maana kama ni pazuri ataanza kuamia taratibu taratibu na akikuona unajiweza vizuri anakuwa king'ang'anizi hakuachi ng'o na atakuwa anakuja bila taarifa na kuachana kwake ni vita maana nao wanapenda kuwekwa ndani


Usithubutu kula kavu
Either hapa ukaambukiza magonjwa japo kuupata ukimwi inaweza ikawa ni ngumu kidogo ila ukila tgo ishakula kwako ,pia wanakutegeshea mimba kutafuta unafuu wa maisha pia hawakawii kukutengenezea mimba feki wakuchomoe hela baadae wakwambie imeharibika


Usijieleze undani wako
Ndugu zangu namaanisha kabila lako majina yako jina la mama ndugu zako walipotoka maana ukisikia kutengenezwa kwa ndumba ndio huko au kama ndugu wapo karibu na ndio kakuelewa basi watajitambulisha maksudi akijua rafiki zako mbona watamfahamu tu kama ni Shemu na wahuni watakuona wa ajabu kula kitu kama hicho

Hakikisha unapafahamu kwao
Kiujanja janja bila hata yeye kujua na ajue unafahamu kwao hii kama itasaidia asikuletee balaa kama utamzingua


Usimuache ghetto pekee yake
Hapa sina maelezo marefu wahuni wanaelewa
Wewe kweli wa Manzese. Hizi tips ndio zenyewe hizi
 
Kuna mdada jirani hapa,anavaa kikuku,halafu anaongeaga mambo ya Mombasa,sasa huwa nashindwa kuwaelewa wale wanaosemaga vikuku ni pambo tu,ukimuona huyo dada,mmmh...
 
the way nilivyowadharau wanawake wenye vikuku na vijora, ndivyo nilivyowadharau wanawake waimba taarabu. huwa naamini wanapenda kuingiliwa kinyume na maumbile, malaya, wachafu, wavivu, maneno meeengi ya kukujazia nzi, hawana elimu wala uwezo wa kufikiri zaidi ya kupenda ngono na kula ubwabwa tu. nyumbani kwangu mke wangu hana kijora na hawezi kununua kwasababu havipendi pia.
Jamani mnunulie tu vyakushindia, huwa ni vizuri kama mtu hujisikii kubanwa 😀😀 unakula hewa safi kabisa!
 
Tuacheni na vikuku vyetu
IMG_20220816_153642~2.jpg
 
Auntieee umepita huku Makiwendo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo mazito haya 😄😄 Breach kuna vichwa zinapendeza , alafu unakuta kala t shirt moja matat, jeans moja imenyooka, alafu chini raba moja ya moto na kikuku chake cha gold kinang'aa nje pale kapaki Jeep Moja matata ya maroon.. Hao wanao kutana nao nao ni malaya hata wasipo tia breach bado wanaonekana malaya tu..
 
Mambo mazito haya [emoji1][emoji1] Breach kuna vichwa zinapendeza , alafu unakuta kala t shirt moja matat, jeans moja imenyooka, alafu chini raba moja ya moto na kikuku chake cha gold kinang'aa nje pale kapaki Jeep Moja matata ya maroon.. Hao wanao kutana nao nao ni malaya hata wasipo tia breach bado wanaonekana malaya tu..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja aje aione mama wa jeep
 
Back
Top Bottom