Ndugu wanajamvi ,
Mimi ni mfanyakazi katika mkoa wa Shinyanga but sasahivi nipo masomoni Dar es salaam ilikuwa wiki iliyopita my X wangu akanipigia simu anaomba nimuongeze pesa anunue simu nilimkubalia kishingo upande nikamwambia anicheki kuanzia Tarehe 1.2.3 mwezi wa pili.
Yeye ni mwalimu yeye akadai kuwa si Tarehe 24 mshahara utatoka kwa hiyo takutumia pesa uninunulie na wewe utanichangia kidogo nikasema poa ila subiri tarehe 1au 2 mwezi ujao jamani ikafika Tarehe 24 nikaona nimuambie anitumie ile pesa yake nimnunulie akatuma laki moja nilipokumbuka aliyonifanyia mpaka tukaachana usaliti nimeamua Kuila hiyo pesa amenipigia simu jana nimemuambia simu imeibiwa hostel. Je nimefanya kosa?
Mimi ni mfanyakazi katika mkoa wa Shinyanga but sasahivi nipo masomoni Dar es salaam ilikuwa wiki iliyopita my X wangu akanipigia simu anaomba nimuongeze pesa anunue simu nilimkubalia kishingo upande nikamwambia anicheki kuanzia Tarehe 1.2.3 mwezi wa pili.
Yeye ni mwalimu yeye akadai kuwa si Tarehe 24 mshahara utatoka kwa hiyo takutumia pesa uninunulie na wewe utanichangia kidogo nikasema poa ila subiri tarehe 1au 2 mwezi ujao jamani ikafika Tarehe 24 nikaona nimuambie anitumie ile pesa yake nimnunulie akatuma laki moja nilipokumbuka aliyonifanyia mpaka tukaachana usaliti nimeamua Kuila hiyo pesa amenipigia simu jana nimemuambia simu imeibiwa hostel. Je nimefanya kosa?