mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
Hihihiiii! Kuku kala mchele asubuh, jioni kaliwa na wali!!JF is so funny, nilipigwa ban week iliniuma sana
teh teh yaani acha tu mkuu. machungu anapunguza kwa laki aseee af kuna member kamwambia labda cku iz ye panya anatafuna elaHihihiiii! Kuku kala mchele asubuh, jioni kaliwa na wali!!
Hakumuona real gentleman wakati ana mgegeda ndo atamuona leo akimnunulia kimeo?? Acha ufala
Asee utakuwa huwajui madem wa kibongo. Majina yote ya kipoyoyo utamilikishwa kisirisiri. Though, simuungi mkono kumtapeli ex wake fedha.
Mrudishie hela yake. Huoni.hata wewe nafsi imekusuta ndo maana ukaja hapa kuomba ushauri? . Huyo binti kama anataka kuliazisha upya. Hiyo ilikuwa ni test ya kuona utayari wako wa kumrudia. Hiyo hela ndogo haiwezi kulipa uliyomfanyia. Usijishushe..mpe hela yake halafu.mkaushie.
Huyu demu ndo maana alimfanyio hivo maana sioni kama unaweza chukua laki ukasema pension!!Yaani jamaa ameyumba kwa pesa ndogo hivyo. Nimesoma tena post yake nimehisi pia dem alikuwa anampima. Maana kama angekuwa serious asingempa lak1 amnunulie iphone.
Sasa kama ndivyo ulivvyo plan unatumbian nn sasa!??? C ungekaa kimya tuu...Wewe ni dhahiri mwizi na ua not a real man,.shame upon yo sura[emoji57]Aiseeeeee nimekula hela nasiirudishi
Wewe mwenyewe unaonaje hapo??Ndugu wanajamvi ,Mimi ni mfanyakazi katika mkoa wa shinyanga but sasa HV nipo masomoni dar es salaam .Ilikuwa wiki iliyopita my X wangu akanipigia cm anaomba nimuongeze pesa anunue cm nilimkubalia kishingo upande nikamwambia anicheki kuanzia Tarehe 1.2.3 mwezi wa pili yeye ni mwalimu yeye akadai kuwa si Tarehe 24 mshahara utatoka kwa hiyo takutumia pesa uninunulie na wewe utanichangia kidogo nikasema poa ila subiri tarehe 01au 2 mwezi ujao jamani ikafika Tarehe 24 nikaona nimuambie anitumie ile pesa yake nimnunulie akatuma laki moja nilipokumbuka aliyonifanyia mpaka tukaachana usaliti nimeamua Kuala hiyo pesa amenipigia cm Jana nimemuambia cm imeibiwa hostel je nimefanya kosa?
Anayelialia ni kama huyo anayejisifu kula laki ya mwanamke umetoa mwenyewe kwa hiari alafu unaanza kulala. Mademu zao hela mapenzi ni ziada.Halaf mm nawashangaa wachangiaji wengine humu wanajivunia kuhudumia mademu (kwa kujihis wao ni vidume) , probably hao mademu wanaowahudumia wanafukuliwa uvungu na lijitu ambalo halijawahi kuwapa hata Tsh. 100
Mkitendwa mnaanza kukumbuka mpunga mliokuwa mkiwapa na kuja kulia lia humu JF
You men, when will u learn!!!???
Kuliwa pesa na ex wako alikuomba na ulimpa mwenyewe sidhani kama alikutapeli kama unavyofanya wewe sasa. Unaweza kwa sasa ukaona umelipiza kwa kuila hela yake ila kinyongo alichonacho kinaweza kukuzibia riziki ya maisha yako. Hata jambazi hupora fedha kirahisi ila kinyongo cha aliedhulumiwa ndio jambazi huishia kuuliwa. Ushauri wangu rudisha hela yake kabla aijaleta madhara kwenye maisha yako.Ndugu wanajamvi ,Mimi ni mfanyakazi katika mkoa wa shinyanga but sasa HV nipo masomoni dar es salaam .Ilikuwa wiki iliyopita my X wangu akanipigia cm anaomba nimuongeze pesa anunue cm nilimkubalia kishingo upande nikamwambia anicheki kuanzia Tarehe 1.2.3 mwezi wa pili yeye ni mwalimu yeye akadai kuwa si Tarehe 24 mshahara utatoka kwa hiyo takutumia pesa uninunulie na wewe utanichangia kidogo nikasema poa ila subiri tarehe 01au 2 mwezi ujao jamani ikafika Tarehe 24 nikaona nimuambie anitumie ile pesa yake nimnunulie akatuma laki moja nilipokumbuka aliyonifanyia mpaka tukaachana usaliti nimeamua Kuala hiyo pesa amenipigia cm Jana nimemuambia cm imeibiwa hostel je nimefanya kosa?