Msichana wangu anasumbuliwa x wake

Msichana wangu anasumbuliwa x wake

Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
mtu anaweza kusumbuliwa na ex kuna mawili
1. bado anamtaka na anampa njia za yeye kumfikia it means hawezi kumuacha aen
2. kama ana mtoto na huyon jamaa...but long story short be careful.
 
Uyu jamaa anamuwinda inamaana msichana akisema atoke inje kosa
.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wanaume sisi tuna hatar sana.Huyo jamaa inaonekana alinogewa sana na maujuzi ya kitandani ya demu
Hapo inategemea mambo mengi.
1.Inategemea wewe umempenda kiasi gani huyo mwanamke,Kama hujampenda kivile mwachie tu jamaa aendelee naye ili isije kukuletea madhara mbeleni.
2.Kama umempenda kwa dhati huyo mwanamke Basi mwambie huyo demu abadilishe namba na ikiwezekana muhame hata mtaa mnaokaa na mkaishi mbali na hapo ili jamaa akimtafuta mwaka mzima bila mafanikio atamsahau na kuachana naye.
Unajua huyo kijana sio kosa lake bali ni hisia tu zinamfanya amkumbuke demu wake wa zamani.
 
Mkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...

Makubaliano ya mkataba wetu.

Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.

Take care mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole kwa jamaa kuoaa zezetaaa
 
Mkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...

Makubaliano ya mkataba wetu.

Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.

Take care mkuu
Duuuh
 
jamn kama changamoto ndogo kama hizo zinakushinda utaweza kwel mikiki ndani ya ndoa.
 
Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Hapo solution ni kuahirisha hyo NDOA kwa muda usio na kikomo. Jipe muda wa kutosha ujiridhishe kwnz juu ya hayo mahusiano Kama bado yapo au la. Vinginevyo, ni Kama unacheza Kamari hapo
 
Back
Top Bottom