Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mke wangu mtarajiwa wanyime huko ulipo, hata huku nanyimwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtu anaweza kusumbuliwa na ex kuna mawiliNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
mda si mrefu unachapiwaJamaa ameblokiwa kwenye simu ila sasa jamaa anamtafuta kwa macho, baadae msichana ananiambia kilichotokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28] soon ataliandoa nyingine inayoenda kuwa janga.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Wanaume sisi tuna hatar sana.Huyo jamaa inaonekana alinogewa sana na maujuzi ya kitandani ya demuUyu jamaa anamuwinda inamaana msichana akisema atoke inje kosa
.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pole kwa jamaa kuoaa zezetaaaMkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...
Makubaliano ya mkataba wetu.
Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.
Take care mkuu
je akiwindwa anajinasuaje kwenye mitego?Uyu jamaa anamuwinda inamaana msichana akisema atoke inje kosa
.
Soon jiandae kulea mtoto wa ex wa Demu wakoNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
DuuuhMkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...
Makubaliano ya mkataba wetu.
Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.
Take care mkuu
Hapo ni sawa na kuloa Samaki kwenye ndoo, hao wanajuana funga nae ndoa uone shughuri yakeNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Hapo solution ni kuahirisha hyo NDOA kwa muda usio na kikomo. Jipe muda wa kutosha ujiridhishe kwnz juu ya hayo mahusiano Kama bado yapo au la. Vinginevyo, ni Kama unacheza Kamari hapoNinampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?
Mwenye tatizo hapo ni demu wako i e hana msimamo,hajitambui,hajakomaa na hajielewi.Ninampenzi wangu ambaye soon tunafunga ndoa,
Kuna x wake anamsumbua sana akitaka warudiane nifanyeje?