britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Jaman matokeo ninayo Barca kampiga Chelsea magoli mawili na mpira umeisha hivo hivo Barca kapita
---------------
Baada ya sare ya 1-1 wiki mbili zilizopita, leo tunaumaliza utata wa timu gani itasonga mbele kwenda kwenye robo fainali ya Champions League.
:
Andres Iniesta hana ufiti wa asilimia 100 na huenda akaanzia benchi, Barcelona kupitia kocha wao wanasema ni maamuzi ya Iniesta mwenyewe na namna anavyojisikia ndio ataamua kuhusika na mchezo au hapana.
.
Chelsea wao wamepata afueni baada ya Rudigwr kurejea kikosini baada ya kukosa mchezo wa Crystal Palace - hakuna majeruhi mpya katika kikosi cha Conte.
:
Takwimu
:
•68% ya timu za ugenini ambazo zilipata sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa mtoano wa UCL hufuzu kucheza hatua inayofuata - timu 23 kati ya 34 zilizopata matokeo hayo zilifuzu.
:
• Huu ni mchezo wa 14 baina ya timu hizi katika mashindano haya - kuna fixtures mbili tu ambazo zimechezwa mara nyingi kuliko mchezo wa timu hizi mbili katika UCL - Bayern v Real Madrid (mara 18) na Barcelona v Milan (15).
:
•Mechi 6 kati ya 13 zilizopita ziliisha kwa sare.
:
Lakin kete yangu iko Kwa Barcelona kusonga mbeleeee
Lakin takwimu zinaonesha 70% ya mtoano ambao Barcelona walitoka Sare mechi ya Kwanza mechi ya pili walisonga mbele
---------------
Baada ya sare ya 1-1 wiki mbili zilizopita, leo tunaumaliza utata wa timu gani itasonga mbele kwenda kwenye robo fainali ya Champions League.
:
Andres Iniesta hana ufiti wa asilimia 100 na huenda akaanzia benchi, Barcelona kupitia kocha wao wanasema ni maamuzi ya Iniesta mwenyewe na namna anavyojisikia ndio ataamua kuhusika na mchezo au hapana.
.
Chelsea wao wamepata afueni baada ya Rudigwr kurejea kikosini baada ya kukosa mchezo wa Crystal Palace - hakuna majeruhi mpya katika kikosi cha Conte.
:
Takwimu
:
•68% ya timu za ugenini ambazo zilipata sare ya 1-1 katika mchezo wa kwanza wa mtoano wa UCL hufuzu kucheza hatua inayofuata - timu 23 kati ya 34 zilizopata matokeo hayo zilifuzu.
:
• Huu ni mchezo wa 14 baina ya timu hizi katika mashindano haya - kuna fixtures mbili tu ambazo zimechezwa mara nyingi kuliko mchezo wa timu hizi mbili katika UCL - Bayern v Real Madrid (mara 18) na Barcelona v Milan (15).
:
•Mechi 6 kati ya 13 zilizopita ziliisha kwa sare.
:
Lakin kete yangu iko Kwa Barcelona kusonga mbeleeee
Lakin takwimu zinaonesha 70% ya mtoano ambao Barcelona walitoka Sare mechi ya Kwanza mechi ya pili walisonga mbele