Msigwa amhoji Tundu Lissu kupinga Wamasai kuhamishwa Ngorongoro, Lissu akosa majibu

Msigwa amhoji Tundu Lissu kupinga Wamasai kuhamishwa Ngorongoro, Lissu akosa majibu

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Hoja za Peter Msigwa na za kwangu zinafanana, ambazo kila nikijaribu kumuuliza mwanaharakati au mwanasiasa anayepinga wamasai kuhamishwa Ngorongoro au hata kupunguzwa hakuna anayejibu zaidi ya kukwepa na blah blah nyingine.

So Msigwa anamhoji Lissu ni kweli kuwa Wamasai walipewa ruhusa ya kuishi hapo miaka ile, ambapo idadi yao ilikuwa ni ndogo na idadi ya wanyama na pori ilikuwa kubwa.

Ila kwa mabadiliko yanayotokea ulimwenguni, na kila mtu anaona ni kuwa binadamu wamekuwa na uwezo mkubwa wa kiteknlojia wa kukabilina na mazingira na kupelekaa biunadamu kuongezeka kwa kasi mara dufu kuliko wanyama na kuchukua nafasi yao.

Iweje watu mnapinga hao wamasai kuondolewa na kupewa mapori mengine? hao wamasia wataachwa waongezeke hadi lini? maana hawana limit watafikia hadi milioni kadhaa.



Mimi naungana na hoja ya Msigwa, mimi ni mwanamamazingira na nimekuwa na utafiti wangu binafsi kuhusu uhusiano wa wanyama na binadmu.

Binadamu wanapoongezeka wanyama lazima wanaondoka tu karibu na maeneo, hata kama wasipowindwa,

Utafiti nilioufanya kwa miaka zaidi ya 20 kijijini kwetu kuanzia miaka ya 1990s, ni miaka ya nyuma kulikuwa na popo, bundi na vipepeo wengi sana, lakini kutokana na watu kuongezeka na miundombinu kuimarishwa, wale popo, bundi na vipepeo sasa hivi kuwaona ni nadra sana, japokuwa hakuna mtu aliyekuwa anawawinda.

Je, nini kiliwafanya kupotea? mazingira yetu kuna vitu vidogovidogo sana ambavyo hatuvioni ila vina impact kubwa kwa wanyama na kama tukiviharibu wanyama wanakimbia, kwa case ya kijijini kwetu nilikuja kugundua wanyama hao na wadudu wadogo wadogo waliondoka kwa sababu kuna mazingira na kama vile vichaka, mapori, matunda ya porini, na wadudu ambao walikuwa wakitegemewa na hao wanyama na wadudu kuangamizwa na shughuli za kibinadamu na kuwafanya wao kuathirika na kukimbia au kufariki.

Mfano kulikuwa na mapori ambayo kulikuwa na sungura wadogo wanaishi, wale sungura walikuwa wakiwindwa na bundi, sasa yale mapori yakafanywa kuwa mashamba na makazi ya watu na wale sungura kupotea na hivyo bundi nao wakapotea

So suala na Ngorongoro sio kuangalia kuwa wamasai hawawindi wanyama ama la, uwepo wao pale na ongezeko lao linavuruga ikolojia ambayo inaathiri sana wanyama bila sisi kujua kwa jicho la kawaida

Serikali iwaondoe wamsai na kuwatafutia mapori mengine kwa lazima
 
Lissu ni pointless kabisa yaan ni mbishi alafu hana point yeyote, eti anasema mvua zikinyesha watu wachunge alafu ukame ukikaribia wapande milimani.

Sisi tunaongelea ongezeko la watu na mifugo kwenye eneo la ngorongoro kupelekea eneo husika kushindwa kuimili wanyama na binadam at the sametime

Hivyo kupelekea mazingira ya asili kupotea kitu amacho kitafanya wanyamapori kukimbia kutokana na uharibifu es mazingira asili ya wanyama na viumbe vingine.

Na hii inapelekea maana asili ya uhifadhi kutoweka kabisa.
 
Nikiangalia vizuri issue ya Ngorongoro naona kuna mkanganyiko wa mambo mengi, na mojawapo linalowafanya wengi wakatae kuondolewa wamasai ni dhana kwamba nani watakwenda huko baada ya wamasai kuondoka.

Maneno ya waarabu wanataka kupewa sehemu ya maeneo hayo ili wafanye biashara ya uwindaji ndio kitu kinachosababisha huu mkwamo, kwasababu nikiangalia kimsingi idadi ya watu kuongezeka lazima isababishe kuharibu mazingira ya mbuga ya Ngorongoro.

Lakini hii sababu isitumike kuwanufaisha wachache ili wapate nafasi ya kufanya biashara zao kwa kushirikiana na waarabu, mpaka pale serikali itakapokuja kuondoa hii sintofahamu naona ndipo mgogoro wa Ngorongoro utakwisha.

Binafsi naamini kweli hapa kuna jambo kwasababu matendo ya serikali ya awamu ya nne yanafanana sana na hii mnayoita ya awamu ya sita.

Haiwezekani kwa akili za kawaida kila jambo lililoanzishwa wakati wa awamu ya nne lifufuliwe awamu ya sita na hasa nikizingatia upigaji uliokithiri awamu ya nne.
 
Hoja za Peter Msigwa na za kwangu zinafanana, ambazo kila nikijaribu kumuuliza mwanaharakati au mwanasiasa anayepinga wamasai kuhamishwa Ngorongoro au hata kupunguzwa hakuna anayejibu zaidi ya kukwepa na blah blah nyingine.

So Msigwa anamhoji Lissu ni kweli kuwa Wamasai walipewa ruhusa ya kuishi hapo miaka ile, ambapo idadi yao ilikuwa ni ndogo na idadi ya wanyama na pori ilikuwa kubwa.

Ila kwa mabadiliko yanayotokea ulimwenguni, na kila mtu anaona ni kuwa binadamu wamekuwa na uwezo mkubwa wa kiteknlojia wa kukabilina na mazingira na kupelekaa biunadamu kuongezeka kwa kasi mara dufu kuliko wanyama na kuchukua nafasi yao.

Iweje watu mnapinga hao wamasai kuondolewa na kupewa mapori mengine? hao wamasia wataachwa waongezeke hadi lini? maana hawana limit watafikia hadi milioni kadhaa.



Mimi naungana na hoja ya Msigwa, mimi ni mwanamamazingira na nimekuwa na utafiti wangu binafsi kuhusu uhusiano wa wanyama na binadmu.

Binadamu wanapoongezeka wanyama lazima wanaondoka tu karibu na maeneo, hata kama wasipowindwa,

Utafiti nilioufanya kwa miaka zaidi ya 20 kijijini kwetu kuanzia miaka ya 1990s, ni miaka ya nyuma kulikuwa na popo, bundi na vipepeo wengi sana, lakini kutokana na watu kuongezeka na miundombinu kuimarishwa, wale popo, bundi na vipepeo sasa hivi kuwaona ni nadra sana, japokuwa hakuna mtu aliyekuwa anawawinda.

Je, nini kiliwafanya kupotea? mazingira yetu kuna vitu vidogovidogo sana ambavyo hatuvioni ila vina impact kubwa kwa wanyama na kama tukiviharibu wanyama wanakimbia, kwa case ya kijijini kwetu nilikuja kugundua wanyama hao na wadudu wadogo wadogo waliondoka kwa sababu kuna mazingira na kama vile vichaka, mapori, matunda ya porini, na wadudu ambao walikuwa wakitegemewa na hao wanyama na wadudu kuangamizwa na shughuli za kibinadamu na kuwafanya wao kuathirika na kukimbia au kufariki.

Mfano kulikuwa na mapori ambayo kulikuwa na sungura wadogo wanaishi, wale sungura walikuwa wakiwindwa na bundi, sasa yale mapori yakafanywa kuwa mashamba na makazi ya watu na wale sungura kupotea na hivyo bundi nao wakapotea

So suala na Ngorongoro sio kuangalia kuwa wamasai hawawindi wanyama ama la, uwepo wao pale na ongezeko lao linavuruga ikolojia ambayo inaathiri sana wanyama bila sisi kujua kwa jicho la kawaida

Serikali iwaondoe wamsai na kuwatafutia mapori mengine kwa lazima

... nakubaliana na wewe kwa 100%.

Tatizo kubwa tulilo nalo nchi zetu hizi utakuta move yote hiyo kuna hila ndani yake;

Utashangaa wanawaondoa hao wamasai ili kupisha wenye fedha waweze kuwinda vizuri!
 
Hoja za Peter Msigwa na za kwangu zinafanana, ambazo kila nikijaribu kumuuliza mwanaharakati au mwanasiasa anayepinga wamasai kuhamishwa Ngorongoro au hata kupunguzwa hakuna anayejibu zaidi ya kukwepa na blah blah nyingine.

So Msigwa anamhoji Lissu ni kweli kuwa Wamasai walipewa ruhusa ya kuishi hapo miaka ile, ambapo idadi yao ilikuwa ni ndogo na idadi ya wanyama na pori ilikuwa kubwa.

Ila kwa mabadiliko yanayotokea ulimwenguni, na kila mtu anaona ni kuwa binadamu wamekuwa na uwezo mkubwa wa kiteknlojia wa kukabilina na mazingira na kupelekaa biunadamu kuongezeka kwa kasi mara dufu kuliko wanyama na kuchukua nafasi yao.

Iweje watu mnapinga hao wamasai kuondolewa na kupewa mapori mengine? hao wamasia wataachwa waongezeke hadi lini? maana hawana limit watafikia hadi milioni kadhaa.



Mimi naungana na hoja ya Msigwa, mimi ni mwanamamazingira na nimekuwa na utafiti wangu binafsi kuhusu uhusiano wa wanyama na binadmu.

Binadamu wanapoongezeka wanyama lazima wanaondoka tu karibu na maeneo, hata kama wasipowindwa,

Utafiti nilioufanya kwa miaka zaidi ya 20 kijijini kwetu kuanzia miaka ya 1990s, ni miaka ya nyuma kulikuwa na popo, bundi na vipepeo wengi sana, lakini kutokana na watu kuongezeka na miundombinu kuimarishwa, wale popo, bundi na vipepeo sasa hivi kuwaona ni nadra sana, japokuwa hakuna mtu aliyekuwa anawawinda.

Je, nini kiliwafanya kupotea? mazingira yetu kuna vitu vidogovidogo sana ambavyo hatuvioni ila vina impact kubwa kwa wanyama na kama tukiviharibu wanyama wanakimbia, kwa case ya kijijini kwetu nilikuja kugundua wanyama hao na wadudu wadogo wadogo waliondoka kwa sababu kuna mazingira na kama vile vichaka, mapori, matunda ya porini, na wadudu ambao walikuwa wakitegemewa na hao wanyama na wadudu kuangamizwa na shughuli za kibinadamu na kuwafanya wao kuathirika na kukimbia au kufariki.

Mfano kulikuwa na mapori ambayo kulikuwa na sungura wadogo wanaishi, wale sungura walikuwa wakiwindwa na bundi, sasa yale mapori yakafanywa kuwa mashamba na makazi ya watu na wale sungura kupotea na hivyo bundi nao wakapotea

So suala na Ngorongoro sio kuangalia kuwa wamasai hawawindi wanyama ama la, uwepo wao pale na ongezeko lao linavuruga ikolojia ambayo inaathiri sana wanyama bila sisi kujua kwa jicho la kawaida

Serikali iwaondoe wamsai na kuwatafutia mapori mengine kwa lazima

Mkuu usiingize politics kwenye issue ambayo sio ya kisiasa, na politicians au sisi we have the right to disagree, tatizo la wamasai limetokana na kuongozwa na wanasiasa vipofu,viziwi, jeuri, walafi etc etc, tatizo la ongezeko la watanzania president Nyerere (rais wa awamu ya kwanza aliliona hili na kwa makusudi mazima akafagilia chini ya zuria),politicians wamepigia kampeni za wazi kabisa eti tuzidi kuzaliana kwa wingi (more than 3% kwa mwaka)wakati eneo la nchi yetu haliongezeki!,Botswana yenye almost eneo kama la kwetu wana only 6M people's na wanyama wengi kuliko idadi ya watu ila wana coexistence bila shaka, this uchafu wa wamasai kapu hili linaishia pale ikulu, walikosea na ili kuwaogopa Roman Catholics serikali Okayama mkia, ni lazima sasa idadi yetu iongezeke kwa 0%
 
Kila mbuga Tanzania wakazi wanashurutishwa kila siku waondoe makazi yao karibu na mbuga ,na hawaruhusuwi kuingia mbugani ,

Wamasai wao ni nani wakae mbugani wakati watanzania kwenye mbuga zingine hawaruhusiwi kufuga au kulima karibu na hifadhi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi hapa ndio mnapochanganya, ngorongoro sio mbuga ni conservation area.
Na upekee wake huo ulitokana na muingiliano Kati ya wanyama na shughuli binadamu na ndio maana kwenye logo ya ngorongoro Kuna picha ya ng'ombe na wanyama wengine.
Pia wamasai walianza kuwa pale kabla ya hiyo hifadhi.
 
Hoja za Peter Msigwa na za kwangu zinafanana, ambazo kila nikijaribu kumuuliza mwanaharakati au mwanasiasa anayepinga wamasai kuhamishwa Ngorongoro au hata kupunguzwa hakuna anayejibu zaidi ya kukwepa na blah blah nyingine.

So Msigwa anamhoji Lissu ni kweli kuwa Wamasai walipewa ruhusa ya kuishi hapo miaka ile, ambapo idadi yao ilikuwa ni ndogo na idadi ya wanyama na pori ilikuwa kubwa.

Ila kwa mabadiliko yanayotokea ulimwenguni, na kila mtu anaona ni kuwa binadamu wamekuwa na uwezo mkubwa wa kiteknlojia wa kukabilina na mazingira na kupelekaa biunadamu kuongezeka kwa kasi mara dufu kuliko wanyama na kuchukua nafasi yao.

Iweje watu mnapinga hao wamasai kuondolewa na kupewa mapori mengine? hao wamasia wataachwa waongezeke hadi lini? maana hawana limit watafikia hadi milioni kadhaa.



Mimi naungana na hoja ya Msigwa, mimi ni mwanamamazingira na nimekuwa na utafiti wangu binafsi kuhusu uhusiano wa wanyama na binadmu.

Binadamu wanapoongezeka wanyama lazima wanaondoka tu karibu na maeneo, hata kama wasipowindwa,

Utafiti nilioufanya kwa miaka zaidi ya 20 kijijini kwetu kuanzia miaka ya 1990s, ni miaka ya nyuma kulikuwa na popo, bundi na vipepeo wengi sana, lakini kutokana na watu kuongezeka na miundombinu kuimarishwa, wale popo, bundi na vipepeo sasa hivi kuwaona ni nadra sana, japokuwa hakuna mtu aliyekuwa anawawinda.

Je, nini kiliwafanya kupotea? mazingira yetu kuna vitu vidogovidogo sana ambavyo hatuvioni ila vina impact kubwa kwa wanyama na kama tukiviharibu wanyama wanakimbia, kwa case ya kijijini kwetu nilikuja kugundua wanyama hao na wadudu wadogo wadogo waliondoka kwa sababu kuna mazingira na kama vile vichaka, mapori, matunda ya porini, na wadudu ambao walikuwa wakitegemewa na hao wanyama na wadudu kuangamizwa na shughuli za kibinadamu na kuwafanya wao kuathirika na kukimbia au kufariki.

Mfano kulikuwa na mapori ambayo kulikuwa na sungura wadogo wanaishi, wale sungura walikuwa wakiwindwa na bundi, sasa yale mapori yakafanywa kuwa mashamba na makazi ya watu na wale sungura kupotea na hivyo bundi nao wakapotea

So suala na Ngorongoro sio kuangalia kuwa wamasai hawawindi wanyama ama la, uwepo wao pale na ongezeko lao linavuruga ikolojia ambayo inaathiri sana wanyama bila sisi kujua kwa jicho la kawaida

Serikali iwaondoe wamsai na kuwatafutia mapori mengine kwa lazima

Kwani Wamasai na hao wanyama wa mbugani wana tofauti gani?
 
... nakubaliana na wewe kwa 100%.

Tatizo kubwa tulilo nalo nchi zetu hizi utakuta move yote hiyo kuna hila ndani yake;

Utashangaa wanawaondoa hao wamasai ili kupisha wenye fedha waweze kuwinda vizuri!
Kwani umepigwa matukio mangapi na viongozi wa CCM na umekaa kimya? Tuache ujinga weka politics pembeni tafakari.
 
Kila mbuga Tanzania wakazi wanashurutishwa kila siku waondoe makazi yao karibu na mbuga ,na hawaruhusuwi kuingia mbugani ,

Wamasai wao ni nani wakae mbugani wakati watanzania kwenye mbuga zingine hawaruhusiwi kufuga au kulima karibu na hifadhi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tena sio watu kuondolewa kwa hiyari na kubembelezwa awamu hii na nyumba na makazi kupewa

Huku nyuma watu wamekula shaba za kutosha wanyama waliingizwa mtoni na kupigwa risasi
Nyumba zilichomwa na familia zikiwa ndani yote haya yalitokea na sio nchi nyingine

Leo watu wamejenga mpaka nyumba za kudumu katikati ya hifadhi halafu wapo watu wanakariri kuwa mwarabu anakuja kuwekeza au kupata open land ya kiwindia

Hivi hizo videoclips hawazioni jinsi ngorongoro ilivyokuwa kama mji ?
 
Inabidi hawa viongozi wa CDM wawe makini na watu wanaojifanya kuwa upande wa viongozi wa CDM for a certain issue, wana hidden ajenda ya kuwatengenezea beef/ whatever you wanna call it…. kuwagombanisha, c’mon Rev. Msigwa, you are smart enough to figure that one out. Waumbueni hao wajinga kwa kulizungumza pamoja….. idiocy. Kama ya kesi ya Chairman Mbowe yamepita with a big bung these are like piece of cake.
 
Tena sio watu kuondolewa kwa hiyari na kubembelezwa awamu hii na nyumba na makazi kupewa

Huku nyuma watu wamekula shaba za kutosha wanyama waliingizwa mtoni na kupigwa risasi
Nyumba zilichomwa na familia zikiwa ndani yote haya yalitokea na sio nchi nyingine

Leo watu wamejenga mpaka nyumba za kudumu katikati ya hifadhi halafu wapo watu wanakariri kuwa mwarabu anakuja kuwekeza au kupata open land ya kiwindia

Hivi hizo videoclips hawazioni jinsi ngorongoro ilivyokuwa kama mji ?
Ngorongoro itamalizwa na makazi ys watu mle ndani ,ingawa wengine wanasema ni tofauti na mbuga zingine ile conservation area lakini maana ya conservation si imetengenezwa tu na watu ,maana kama leo hii mikumi pataachwa watu watasogea hivo hivo taratibu hadi ndani ya mbuga . Ukiangalia mikumi pale Doma mashamba ya mahindi yanaliwa kila mwaka na tembo wanatokea hifadhini,watu wakilalamika wanaambiwa watoke karibu na mbuga ,na mnyama ukimgusa inakula kwako.

Leo wamasai wanakaa ndani ya mbuga kwani wana hadhi tofauti na watanzania wengine? Wengine wanasema wamasai wao wenyewe mle ndani ni kivutio kwa watalii lakini hata nje ya mbuga wanaweza wakafuatwa ,maana ukiangalia kwa mtalii karibia vile vjijiji vyote kuanzia karatu ni mvuto tosha ,pia ukiangalia watalii wanatoka nje wanaenda ziwa manyara kuangalia kabila la Hadzabe wanavyoishi na hapo ndani ya mbuga ,sasa wamasai wana uspecial gani sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hapa ndio mnapochanganya, ngorongoro sio mbuga ni conservation area.
Na upekee wake huo ulitokana na muingiliano Kati ya wanyama na shughuli binadamu na ndio maana kwenye logo ya ngorongoro Kuna picha ya ng'ombe na wanyama wengine.
Pia wamasai walianza kuwa pale kabla ya hiyo hifadhi.
Hata Selous ilikuwa conservation area mpaka sasa kama sikosei,mbona hamna wamasai au watu wanafuga huko na wameweka makazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahah Mnajiita 'wanamazingira',,pumbavu Sana hawa watu...alafu utakuta linaishi pembeni ya mfereji
 
Utafiti nilioufanya kwa miaka zaidi ya 20 kijijini kwetu kuanzia miaka ya 1990s, ni miaka ya nyuma



Utafiti wa Propesa
Manyelele usiufuate.
Unawajua mapropesa wetu ndugu
 
Back
Top Bottom