johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Msemaji wa Serikali mh Msigwa amesema Bandari ilikuwa inaingiza faida ya takribani tsh 120 bilioni tu na TICTS Ilikuwa inaingiza tsh 300 bilioni tu na Bandari ina Magati 12
Msigwa amesema Bandari haijauzwa na haitauzwa kwa sababu sheria za Nchi haziruhusu
Msigwa amesisitiza Bandari lazima ikodishwe Ili kuongeza Ufanisi kwani mwekezaji atatuwezesha kupata tsh 27 trillion pa
Source: Habari Digital
Msigwa amesema Bandari haijauzwa na haitauzwa kwa sababu sheria za Nchi haziruhusu
Msigwa amesisitiza Bandari lazima ikodishwe Ili kuongeza Ufanisi kwani mwekezaji atatuwezesha kupata tsh 27 trillion pa
Source: Habari Digital