Msigwa: Bandari Ilikuwa inaingiza tsh 1 trillion na inamtumia tsh 880 bilioni ndio sababu tumeleta DP World Ili kuongeza Mapato!

Msigwa: Bandari Ilikuwa inaingiza tsh 1 trillion na inamtumia tsh 880 bilioni ndio sababu tumeleta DP World Ili kuongeza Mapato!

Kwani hiyo tender ilitangazwa lini msigwa kwa wawe waarabu ndugu zake saa 100
 
Kwenye Mkataba haijawekwa wazi kiasi gani DP World watawakeza na ni vipi Tanzania itanufaika na kwa kiasi gani. Zaidi ya hapo itakuwa ni uwongo.
 
BANDARI NI LAZIMA IKODISHWE""


Hii kaul ya inaonyesha tunapelekeshwa kam Watoto na wao ndio wanajua kulko sisi


Ifke hatua serikali isiegee upande wa muwekezaji kama wao watuelimishe mkataba unataka unavyoeleza basi .

Kama japo linafaid kwetu hakuna wakupng lakn mkituletea Tuu faida bila kujua mkataba sio sawa
Bandari itakodishwa tu mtake msitake
 
Hayo mapato manayapeleka wapi

Wakati kutwa kutuongezea mkodi isiyo na miguu wala kichwaa.
Bora tubaki na bandari yetu ambayo niyakwetu kihalali, watanzania wenzetu wakila aina wanapata ajira kuliko Miarabu ambayo yakija Wakristo hatupati ajira.
Waarabu hapana
Hapana!
We nani kwenye bandari?
 
Tatizo sio mapato, tatizo sio waarab, tatizo sio wawekezaji, tatizo ni mkataba una masharti ya kijinga sana
Ndo ishakuwa hivyo na hamna cha kuwafanya wenye bandari yao
 
Kinachofurahisha bandari haijawahi kupata hasara. Ajabu ni pale unapokodisha uwekezaji ambao unajua huwa hauingizi hasara.
 
BANDARI NI LAZIMA IKODISHWE""


Hii kaul ya inaonyesha tunapelekeshwa kam Watoto na wao ndio wanajua kulko sisi


Ifke hatua serikali isiegee upande wa muwekezaji kama wao watuelimishe mkataba unataka unavyoeleza basi .

Kama japo linafaid kwetu hakuna wakupng lakn mkituletea Tuu faida bila kujua mkataba sio sawa
Wamekodisha bila kikomo, hiyo ni tafsiri sahihi ya kuuza
 
Mkataba wa DP world ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema Msigwa tusingelalamika.

Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana.
 
Tatizo kubwa la nchi hii ni ujinga ila kwasasa tatizo la ujinga limekua sugu hadi limekua upumbavu.
 
watu wanataka mjadala uwe kwenye terms ya kilichosainiwa sio vinginevyo

iwe karatasi la kufungia vitumbua au chochote kile

watu wakihoji terms wanajibiwa Nchi zingine wanazofanya kazi DP World

tukihoji terms wengine wanatoa takwimu za ajira zitakazoongezeka wengine wanajadili ufanisi

Toeni ufafanuzi wa terms zinazotia wasiwasi

Mtu anahoji kipengele cha muda wa .mkataba jitu zima linakutajia muda wa kushusha kontena au muda wa meli kusubiri kushusha mzigo


Watu tunahoji terms mtu anasimama Bungeni kujibu anazungumzia faida za umoja wa kitaifa heee


Ukiuliza kwanini hakuna kipengele cha kuvunja mkataba mtu anakujibu Bandarini mifumo haisomani kwa hiyo ufanisi mdogo

Mimi: Kwanini Tender ya kuendesha bandari haikushindanishwa kwa wote wenye uwezo?

Chawa: Wafanyakazi wa sasa wa TPA wataendelea na Ajira zao

Mimi: Kwanini mkataba huu hauhusishi Znz?

Chawa: Tusitumie uhuru vibaya kwa kumvunjia heshma Mama


Prof Tibaijuka ana challenge kwanini Mkataba hauvunjiki Mtangazaji wa Wasafi anatolea mfano wa Mkataba wa Yanga na Faisal Salumi Fei toto …Mama Tibaijuka alishangaa sana Mwandishi kutolea mfano wa kijinga kama ule kwny jambo serious
 
Kanisa Moja Takatifu la Mitume

Msigwa: DP World wataongeza Ufanisi na Serikali itapata tsh 27 trillion kwa Mwaka badala ya tsh 7 trillion za sasa ( Bandari na TRA custom)
 
Back
Top Bottom