Msigwa: Bandari Ilikuwa inaingiza tsh 1 trillion na inamtumia tsh 880 bilioni ndio sababu tumeleta DP World Ili kuongeza Mapato!

Msigwa: Bandari Ilikuwa inaingiza tsh 1 trillion na inamtumia tsh 880 bilioni ndio sababu tumeleta DP World Ili kuongeza Mapato!

Hichi nakifananisha na kilimo Cha matikiti huko mtandaoni...
 
Kwani yeye anajua ilitakiwa tupate kiasi gani Cha makusanyo
 
Bandari siyo kilimo. Huwezi kufananisha apple na chungwa, ingawa yote ni matunda.

Umeshawahi kutumia bandari kwa shughuli zako?
 
BANDARI NI LAZIMA IKODISHWE""


Hii kaul ya inaonyesha tunapelekeshwa kam Watoto na wao ndio wanajua kulko sisi


Ifke hatua serikali isiegee upande wa muwekezaji kama wao watuelimishe mkataba unataka unavyoeleza basi .

Kama japo linafaid kwetu hakuna wakupng lakn mkituletea Tuu faida bila kujua mkataba sio sawa
Kwani wewe siyo mtoto?Wakibwa tunajua kwamba kwa miaka zaidi ya 40 Bandari haijatufanyia chochote cha kujivunia.
 
Back
Top Bottom