BANDARI NI LAZIMA IKODISHWE""
Hii kaul ya inaonyesha tunapelekeshwa kam Watoto na wao ndio wanajua kulko sisi
Ifke hatua serikali isiegee upande wa muwekezaji kama wao watuelimishe mkataba unataka unavyoeleza basi .
Kama japo linafaid kwetu hakuna wakupng lakn mkituletea Tuu faida bila kujua mkataba sio sawa