Msigwa: Bandari Ilikuwa inaingiza tsh 1 trillion na inamtumia tsh 880 bilioni ndio sababu tumeleta DP World Ili kuongeza Mapato!

Hichi nakifananisha na kilimo Cha matikiti huko mtandaoni...
 
Kwani yeye anajua ilitakiwa tupate kiasi gani Cha makusanyo
 
Bandari siyo kilimo. Huwezi kufananisha apple na chungwa, ingawa yote ni matunda.

Umeshawahi kutumia bandari kwa shughuli zako?
 
Kwani wewe siyo mtoto?Wakibwa tunajua kwamba kwa miaka zaidi ya 40 Bandari haijatufanyia chochote cha kujivunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…