Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Msigwa: Hakuna ndege inayobeba wanyama, mwenye ushahidi alete

Hiyo ni issue tofauti ya kuua tembo ili upate pembe za kuuza. Uzuri haya mambo yote yanaratibiwa na WWF na CITES ambavyo ni vyombo vya dunia vinavyo hifadhi endangered species.

Sisi wenyewe pale Banda Ngozi kwenye maghala ya Mali Asili tuna pembe za ndovu tulizozikamata kwa majangiri zaidi ya Tani 20 lakini tumekatazwa kuuza instead tunaambiwa tuzichome ili ku discourage biashara ya pembe za ndovu.
Nami nimefuatilia comment zako humu,nimeona watu wengi kila wakitaka kukujibu,maneno kama "wewe mjinga" hayakosekani.

Ila kwa uandishi wako wa aina hii,na hoja za hivi, unakataaje kuwa wewe siye
 
Nami nimefuatilia comment zako humu,nimeona watu wengi kila wakitaka kukujibu,maneno kama "wewe mjinga" hayakosekani.

Ila kwa uandishi wako wa aina hii,na hoja za hivi, unakataaje kuwa wewe siye
Fine mimi mjinga, je wewe umeona hoja zao walizoleta dhidi ya hoja yangu? Wote ninaobishana nao hakuna aliyeleta picha ya wanyama wakipakiwa kwenye ndege.

Siogopi kuitwa mjinga na watu niliowazidi IQ, tatizo siyo la kwao bali ni maumbile ya vichwa vyao hasa kwenye cerebrum inapokaa grey matter pako shallow.

If you know, you know
 
Hamna ushahidi wa tigwa akipandishwa ndege, wote tuna picha za dege iko airstrip na airport ambazo hazina uhalisia, zimeletwa na upinzani tu
 
Fine mimi mjinga, je wewe umeona hoja zao walizoleta dhidi ya hoja yangu? Wote ninaobishana nao hakuna aliyeleta picha ya wanyama wakipakiwa kwenye ndege.

Siogopi kuitwa mjinga na watu niliowazidi IQ, tatizo siyo la kwao bali ni maumbile ya vichwa vyao hasa kwenye cerebrum inapokaa grey matter pako shallow.

If you know, you know
Usijali maneno ya watu wakikuita mjinga wakati wewe unaamini kabisa sivyo..

Ila kupitia uzoefu,tena katika kipindi hiki cha royal tour,hakuna ndege kubwa imetua Nchini ikiwa na watalii wengi,watu wa serikali wasiipige picha na kutamba kuwa tumepata watalii kadhaa..

Nadhani hoja za waliowengi ( hata kama hawana ushahidi) ni kama hilo dege kubwa limeleta watalii,mbona kipindi hiki wameingia kimya kimya sanaaa?

Wanajiuliza,labda watalii wa safari hii walikataa kupigwa picha?

Mambo hayo ya kwenda kinyume na mazoea ( kutokuwa na mapicha picha,matangazo na tambo za watu wa serikali),labda ndiyo yanawatia watu hofu kuwa hilo dege lilifuata/ limefuata nini?
 
Mwisho wa siku hawa wanyama watazeeka na watakufa. Kwani kuna ubaya gani kuwauza kama hao waarabu wanataka?

Maana sasa tumechoka ndege KIA mara ndege Loliondo, mara wanyama wanaibiwa!! Kama wanaibiwa ina maana kuna soko. Tuwapangie Bei waingize mpunga na kodi tukusanye.

Kwanza Watanzania hata mbugani hatuendi kuona wanyama kama sehemu ya utalii lakini tumekomaza mishipa tunalaani ndege ambazo Wala hatuna uhakika zimebeba nini
Tatizo ni uwazi na utaratibu. Kwanza kuna jinsi ya kuwakamata. Kuna kipindi waliruhusu usafirishaji wa wanyama hai wanyama wakawa wanakamatwa kwa utaratibu usiofaa ukiacha wengi kufa wakati wa kushikwa na pia kunakua na vurugu na uhalifu mwingi kwenye mbuga kwa kisingizio cha kutega wanyama.
Pili uwazi unakua hakuna. Bei na kama nchi inapata nini na pia idadi ya wanyama inakua kubwa kuliko inavyotajwa. Tatu shughuli hizo kuingiliana na utalii.
 
Back
Top Bottom