Msigwa kumnyima nafasi Peter Madeleka, na kusema list ya wauliza maswali ina maana gani?

Msigwa kumnyima nafasi Peter Madeleka, na kusema list ya wauliza maswali ina maana gani?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika Clubhouse inayoendelea kuhusu mjadala wa Bandari unaoongoza na Habari Maelezo, huku moderator akiwa ni Peter Msigwa, hali imekuwa tete baada ya Peter Madeleka kutaka kuuliza swali ambapo Msigwa ameshutumu Madeleka kutumia utambulisho usio wake, hata hivyo Madeleka alisema ametumia jina lake na picha iliyowekwa ni yake

Msigwa amesema orodha ya wauliza maswali anayo, je ni kweli huu mjadala una watu sahihi maana hadi sasa siwaelewi wauliza maswali, na amenistua aliposema orodha anayo
 
Nipo nawasikia huyu mwanasheria aliyemleta msigwa ni mweupe sana hajui kitu
 
Acha kupotosha ndugu ametumia nafasi ya mtu mwingine Msigwa kamwambia anakwenda kwa list kwahiyo asubiri muda wake atapewa muda tu
 
Katika Clubhouse inayoendelea kuhusu mjadala wa Bandari unaoongoza na Habari Maelezo, huku moderator akiwa ni Peter Msigwa, hali imekuwa tete baada ya Peter Madeleka kutaka kuuliza swali ambapo Msigwa ameshutumu Madeleka kutumia utambulisho usio wake, hata hivyo Madeleka alisema ametumia jina lake na picha iliyowekwa ni yake

Msigwa amesema orodha ya wauliza maswali anayo, je ni kweli huu mjadala una watu sahihi maana hadi sasa siwaelewi wauliza maswali, na amenistua aliposema orodha anayo
Kwanini aogope maswali sisi ambao tunajua 'social inference' inamaanisha huo mkataba ni magumashi
 
Katika Clubhouse inayoendelea kuhusu mjadala wa Bandari unaoongoza na Habari Maelezo, huku moderator akiwa ni Peter Msigwa, hali imekuwa tete baada ya Peter Madeleka kutaka kuuliza swali ambapo Msigwa ameshutumu Madeleka kutumia utambulisho usio wake, hata hivyo Madeleka alisema ametumia jina lake na picha iliyowekwa ni yake

Msigwa amesema orodha ya wauliza maswali anayo, je ni kweli huu mjadala una watu sahihi maana hadi sasa siwaelewi wauliza maswali, na amenistua aliposema orodha anayo
Msigwa mshamba sana,wewe mtu ametoka TBC na kufika mpaka hapo alipo,hana exposure kama akina Zuhra Yunus!
 
Back
Top Bottom