Pre GE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

Pre GE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Kabla ya Magoma Yanga ilifadhiliwa na club Bilicanas.
FB_IMG_1721219174341-1.jpg
 
Wewe ni chizi

Hiyo bilicanas ya Dj zero au Ya Baba yake,??

Alafu zamani kulikua udhamini ni kutumbuiza tu kwenye matamasha kwa maana mpira aukuwa biashara

Aya mwambie Sasa adhamini Na Konyagi zake kwa sasa
Una umri gani? Huyo aliyeongoza hapa ni Mohamed Husein Mmachinga, ina maana wakati huyu anacheza ulikuwa hujazaliwa? Too young!
 
Una umri gani? Huyo aliyeongoza hapa ni Mohamed Husein Mmachinga, ina maana wakati huyu anacheza ulikuwa hujazaliwa? Too young!
Wewe ni chizi sana ndg

Hapo soka la kulipwa lilikua wap?

Mpira wa Tanzania Uwekezaji wa maana umeanza miaka ya 2005

Huko nyuma soka lilikua bonanza tu
 
Wanasiasa wanajuana, jioni utawaona msigwa na mbowe wakila bapa lao.

Mambo yao tuwaachie wenyewe
 
CHADEMA ndio chama pekee kilichovunja mwiko. NCCR na CUF zilikufa, ila CHADEMA huwezi kuiua ndio maana akina msigwa wanakimbilia CCM. CHADEMA ilishajijenga na kuwa brand huwezi kuifuta hivi hivi.
Hivi Chadema inaweza kuishinda ile CUF ya 2000? Labda Kama umeanza kufuatilia siasa juzi
 
Chadema wanapigania matumbo yao tu, ipo siku mtaambiwa Ile jengo la ufipa walipanga kwa mtoto wa kigogo wa chadema
 
Ccm wanakuchora tuu sasa kama umeweza kukojoa ulipokuwa unalala unadhani ugenini utaacha ; ccm kuweni makini sana na huyu mtu so mzuri kabisa
Huyu beki tatu wa mzungu lazima atawatoa nishai tu maccm, sasa wenyewe wanajidanganya kuwa wamelamba dume
 
Back
Top Bottom