Pre GE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

Pre GE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Michezo ya siasa si ya kuaminiana kabisa, mnaweza kuta yuko huko Kwa kazi maalumu, anaponda sana na kutoa shutuma kumbe anafanya kazi ya alikotoka,
Tuendelee kunywa mtori tu , nyama tutazikuta chini
 
Ndio Ukweli

Chadema imepoteza watu mahiri wamebaki na watu wajinga wajinga

Mtu mwenye akili Chadema laazima aonekane ni msaliti na mamluki

Ila wale wajinga wanaoshinda mitandaoni huku kula kwao kwa shida ndio uonekanana makamanda

Chadema imekua ikipoteza watu muhimu sana kwa uzembe wa Kijinga wa kumwabudu mtu mmoja
Kwahiyo Msigwa ndio baadhi ya watu muhimu waliopotezwa na cdm?!
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Msigwa anastahili kustahafu siasa angalau abaki na heshima aliyoijenga mda mrefu
 
Msigwa ni afadhali angejiuzulu siasa, au angekwenda chama kingine cha upinzani. Lakini huu utaratibu wa kupanda majukwaani, na kuponda mambo yote aliyowaaminisha wananchi kwa miaka zaidi ya 20, ni kujidhalilisha, na kuwadharau Watanzania
Hao watu wa aina ya kina Msigwa hawaisaidii ccm, bali wanafanya watu kuwapuuza wanasiasa na siasa kwa ujumla. Msigwa anasema cdm hawana sera, ila yeye haongei sera bali anaongea mapungufu ya cdm, ambayo kwa mtazamo wake yatampatia cheo huko ccm.
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Huyu kapotea tayari

Si awashauri ccm waondoe mfumuko wa bei na tozo
Ambazo akiwa cdm alizipigia kekele
 
Ndio Ukweli

Chadema imepoteza watu mahiri wamebaki na watu wajinga wajinga

Mtu mwenye akili Chadema laazima aonekane ni msaliti na mamluki

Ila wale wajinga wanaoshinda mitandaoni huku kula kwao kwa shida ndio uonekanana makamanda

Chadema imekua ikipoteza watu muhimu sana kwa uzembe wa Kijinga wa kumwabudu mtu mmoja
Ccm tuko na mwigulu na bashe sukari 6,000 kwa kilo,

ccm tuko na vichwa bwashehe
 
Wanasiasa watu wa ajabu sana
Mazee mazima yanajadili mtu
Yaani hakuna wa afadhali vyama vyote

Vijana hawajui la kufanya wako kitaa na mzee yanajadili watu
Hopeless 😔 kabisa
 
Kwa hiyo alikaaa kwenye chama zaidi ya miaka 20 ila leo ndio anajua hakina sera? Msigwa ni spent item, hata akizunguka nchi nzima hana impact yoyote. Yeye asubiri apewe ukuu wa Mkoa au Wilaya astaafu siasa kwa utulivu
Spent item, with reservior nutrients. Thats why CCM are hunting tirelessly those rare ingredients from "comred Msigwa". Tumepoteza ukweli ndio huo
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Dogo anachanganyikiwa.
 
Tupo pamoja.Huyu mtu kajidunisha mnooo mnooo!Bado namshangaa kuendelea kutumia kauli ya "akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa"!Misemo yake na kauli zake kwa sasa akiitumia anaonesha alivyo kasuku,roboti la Nape na kiumbe wa kukaririkariri tu maneno.The emptiness within him!
Naam alikuwa anajimbwafai kwa kuwarejea akina ALBERT ANSTEIN " Problem can not be solved by the same thinking that created them..." Leo karudi kulekule kapwaya vibaya mno.

Yupo kwenye wrong truck but hana jinsi kwa kweli.
 
Mzee mwenzangu, huyu jamaa si alishatoka chadema? Nadhani awaache na utapeli wao. Ukiona umeachana na mke au mume ukaendelea kumuongelea au kumfuatilia, jua kuna jambo. Jitafakari.
Msigwa katoka, kwa CCM ni liability sio asset hata kidogo
 
Ndio Ukweli

Chadema imepoteza watu mahiri wamebaki na watu wajinga wajinga

Mtu mwenye akili Chadema laazima aonekane ni msaliti na mamluki

Ila wale wajinga wanaoshinda mitandaoni huku kula kwao kwa shida ndio uonekanana makamanda

Chadema imekua ikipoteza watu muhimu sana kwa uzembe wa Kijinga wa kumwabudu mtu mmoja
Kwa hiyo hilo wewe linakuhusu nini?
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Huyu Msigwa ni sawa tu na Magoma
 
A

Najipalilia Laana na itamvaa yeye mpaka kizazi chake cha nne, Mbowe ni mtu na kama binadamu yoyote anamahitaji yake na mapungufu yake kwani siyo Malaika huwezi kutumia mapungufu na maitaji ya Mbowe kumbagaza ili upate cheo CCM, huo ni ujinga na watu wenye akili watakuona huna akili. Huwezi ukakaa CDM miaka 20 ukakosa mapungufu ya watu.
Mengine yote umesema kweli ila hakuna chama kinaitwa CDM kaka.
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Yaani kama ni uchungaji wa kinafiki, basi huyu anathibitisha kwa matendo yaliyowazi sana unafiki wake kama mchungaji..

Yesu Kristo anasema wachungaji wa kweli na wa uongo, "....mtawatambua kwa matendo yao..."

Huyu Mch kwa sabubu ya njaa ya tumbo na kichwani, kaamua kujiuza mwenyewe kwa shetani.

Yaani kaamua atembee usiku na mchana kueneza uongo ili mradi apewe na pesa toka kwa anaowauzuia huo uongo!!
 
Back
Top Bottom