Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Nimeipenda hiiNdio Ukweli
Chadema imepoteza watu mahiri wamebaki na watu wajinga wajinga
Mtu mwenye akili Chadema laazima aonekane ni msaliti na mamluki
Ila wale wajinga wanaoshinda mitandaoni huku kula kwao kwa shida ndio uonekanana makamanda
Chadema imekua ikipoteza watu muhimu sana kwa uzembe wa Kijinga wa kumwabudu mtu mmoja