Jiulize
Dk Slaa , Zitto, Kitila, Mwigamba , nk
Ni spent item sio?
Msichotaka kusikia ni mbowe kukosolewa na jamaa alivyowafanya mazuuzu mnawamini bila yeye chama kitakufa
Je Leo Mbowe katwaliwa na Mungu je ndio mnasema chama kitakufa?
Mbowe na akina Nkuruzinza Wana Tofauti gan Sasa? Mtu asietaka kupingwa Wala kushindana na wengine?
Wekeni mizani wazi asubuh tu Mbowe anashindwa mapaka na Mtu wa kawaida kama Heche
Nyalandu aliondoka huko Baada ya kujua nyie ni matapeli na hata mkienda kokote Huko Marekani alishawaambia hamna dira Wala sio chama Cha kisiasa zaidi ni chama Cha harakati na mali ya mtu binafsi
Mwenyekiti wa Kanda Ya Kati alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyanda za juu kasepa
Jiulize maswali mnapoteza brigedi 4 za chama tena hao walichaguliwa na wafuasi wenu Leo mnasema hawana impact yeyote maanake awakuchaguliwa Bali waliteuliwa na mbowe kwa maslahi yake na Mali yake ?
Jiulizeni sana
Mmepoteza Makatibu wakuu wawili , makamu Mwenyekiti Bara , mmepoteza mshaurii , Wenyeviti wa Jumuiya zenu ikiwepo Bavicha
Kama kweli hao ni bidhaa au walikua pandikizi la CCM basi hata mliobakia huko Mtakua pandikizi la Siri la CCM
Ova.