Pre GE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

Pre GE2025 Msigwa: Mbowe aliacha tuliyomtuma Ikulu akaenda kushughulikia Billicanas. CHADEMA hakuna Sera ni kudandia mambo ya CCM tu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga [emoji209]
Chumia tumbo kwanza!
 
Kuliko kutoa siri za ndani za CHADEMA Msigwa bora angekuwa anazuga tu akina Makala.
 
Njaa haina adabu.

Upinzani wa Tanzania ni mgumu. Tena sana. Nafsi inataka. Tumbo halitaki.
Pamoja na yote ya uroho wa madaraka,kugawa rushwa kwenye uchaguzi kanda ya Nyasa na kuwa na mawasiliano ya muda mrefu na CCM kwa Msigwa,bado nina hofu na ushawishi wa mkewe.Nafuatilia nguvu ya mkewe na familia yake katika hili.
 
Jiulize

Dk Slaa , Zitto, Kitila, Mwigamba , nk

Ni spent item sio?

Msichotaka kusikia ni mbowe kukosolewa na jamaa alivyowafanya mazuuzu mnawamini bila yeye chama kitakufa

Je Leo Mbowe katwaliwa na Mungu je ndio mnasema chama kitakufa?

Mbowe na akina Nkuruzinza Wana Tofauti gan Sasa? Mtu asietaka kupingwa Wala kushindana na wengine?

Wekeni mizani wazi asubuh tu Mbowe anashindwa mapaka na Mtu wa kawaida kama Heche

Nyalandu aliondoka huko Baada ya kujua nyie ni matapeli na hata mkienda kokote Huko Marekani alishawaambia hamna dira Wala sio chama Cha kisiasa zaidi ni chama Cha harakati na mali ya mtu binafsi

Mwenyekiti wa Kanda Ya Kati alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini alisepa
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyanda za juu kasepa

Jiulize maswali mnapoteza brigedi 4 za chama tena hao walichaguliwa na wafuasi wenu Leo mnasema hawana impact yeyote maanake awakuchaguliwa Bali waliteuliwa na mbowe kwa maslahi yake na Mali yake ?

Jiulizeni sana

Mmepoteza Makatibu wakuu wawili , makamu Mwenyekiti Bara , mmepoteza mshaurii , Wenyeviti wa Jumuiya zenu ikiwepo Bavicha

Kama kweli hao ni bidhaa au walikua pandikizi la CCM basi hata mliobakia huko Mtakua pandikizi la Siri la CCM

Ova.
Kuna wakati huwa mnaendeshwa na mihemko kuliko kutumia akili. Yani kusema Msigwa ni spent item tayari nimekuwa CHADEMA. Wengine hatuna vyama ila ni watu huru. Msigwa alianza kushindwa hata ndani ya chama chake mwenyewe.
 
Kwahiyo samia naye akaacha maagizo ya chama chake akaamua kushughulikia mambo ya Club bilicana?
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
 
Kwahiyo samia naye akaacha maagizo ya chama chake akaamua kushughulikia mambo ya Club bilicana?
Hivi,unaona kuna ukweli kwamba SSH na Mbowe waliacha ya maana yooote wakaanza kujadili Bilcanas?Msigwa amejua kubonyeza kitufe cha vichekesho kwa umahiri sana.🤣🤣🤣🤣🙏
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Apimwe akili huyu. Kuna shida kichwani kwa Msigwa
 
Ni afadhali Msigwa angejikita kumsifia Mama na kazi anazozifanya kuliko kuiponda Chadema. Chama tawala kinapaswa kueleza mafanikio yake, changamoto walizotatua. Chama tawala hakipaswi kurusha lawama, na kulalamika. Lakini kwa mwendo huu anaokwenda nao Msigwa unaweza kudhani Chadema ni chama tawala, na Ccm ni chama cha upinzani.

Huyu huyu Mama anayepiga misele na msafara wa magari 150 huko Rukwa ..... Ukweli kuna machache sana ya kumsifia huyu Mama. Ndiyo maana kila mtu hayuko specific zaid ya Kafungua uchumi, karuhusu mikutano ....!!
 
Mwanamke Malaya hachagui wakutoka naye, mwenye hela yoyote anapewa kwa muda ule, akishamtumia anamwacha.
 
Senge hili mbona naye alikuwa akishiriki kuyadandia hayo mambo ya ccm
 
Ana Uhuru kama aliokua nao sativa na wengine wanaotukana uongozi wa Tanzania .yaani nyie chadema mnataka kuiponda ccm tuh nyie kuambiwa ukweli hamtaki
Ccm ina watu wengi sana wenye uwezo wa kuiponda Chadema. Mchungaji Msigwa anapoiponda Chadema anajidhalilisha, na kuonekana kama mtu aliyefundishwa nini cha kusema.
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Napita nitarudi.
 
Nkurunziza hii imeenda sana, nimecheka na kusikitika sana huyu anavyobwabwaja kama pimbi aliejeruhiwa.Hata hao ccm sidhani kama wanamuamini huyu chizi. Yajayo yanafurahisha na muda ni mwalimu mzuri sana. Tusubiri 2025 kuna mengi ya aina hii ya Tik Tak.
 
Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni

Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi


Source: Mwanahalisi Digital

My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga 🐼
Njaa mbaya sana
 
Back
Top Bottom