Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kabla ya Magoma Yanga ilifadhiliwa na club Bilicanas.Mchungaji Peter Msigwa ameichanachana CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara karibu kabisa na Ufipa st Kinondoni
Msigwa amesema CHADEMA hakunaga Dira wala Sera bali husubiri kusikia Chama Dume CCM kimesema nini Ili wao wakosoe basi
Source: Mwanahalisi Digital
My take; Makapi kutoka Ufipa st ni zaidi ya Mambwiga πΌ
Wewe ni chiziKabla ya Magoma Yanga ilifadhiliwa na club Bilicanas.
View attachment 3045121
Una umri gani? Huyo aliyeongoza hapa ni Mohamed Husein Mmachinga, ina maana wakati huyu anacheza ulikuwa hujazaliwa? Too young!Wewe ni chizi
Hiyo bilicanas ya Dj zero au Ya Baba yake,??
Alafu zamani kulikua udhamini ni kutumbuiza tu kwenye matamasha kwa maana mpira aukuwa biashara
Aya mwambie Sasa adhamini Na Konyagi zake kwa sasa
Wewe ni chizi sana ndgUna umri gani? Huyo aliyeongoza hapa ni Mohamed Husein Mmachinga, ina maana wakati huyu anacheza ulikuwa hujazaliwa? Too young!
Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku Mimi Kodi yangu pia inawapa ulaji hao pimbiKwa hiyo hilo wewe linakuhusu nini?
Msaliti!AMEKWISHA KWISHNEY MSIGWA AMEBAKI NA UMBEYA
Usikute naye wameshaanza kumpekenyua, maana vitabia vya kimanzi manzi havianzagi bure bure.Msigwa hii ni Tabia ya kina Mama,Sisi tuna ile kuachana kiume Oya fresh poa.Ila kukaa kusema ya Mbowe tukutofautishe vipi na upendo Peneza sasa.
Kumbe pimbi siyo wao peke yao!Chadema kinaendeshwa kwa ruzuku Mimi Kodi yangu pia inawapa ulaji hao pimbi
Anajiita tajiri huku wenzie akiwaambia komaa Kamandaπ€£π€£π€£
Hivi Chadema inaweza kuishinda ile CUF ya 2000? Labda Kama umeanza kufuatilia siasa juziCHADEMA ndio chama pekee kilichovunja mwiko. NCCR na CUF zilikufa, ila CHADEMA huwezi kuiua ndio maana akina msigwa wanakimbilia CCM. CHADEMA ilishajijenga na kuwa brand huwezi kuifuta hivi hivi.
πππ Mmachinga huyo! CCM wanapenda watanzania tuwe maskini ndiyo maana wanampiga vita Mbowe. Yupo sana tu!Kabla ya Magoma Yanga ilifadhiliwa na club Bilicanas.
View attachment 3045121
Wamesahau hao. Ila kajiunga na wenzakeAliwahi kuita ccm chama chakavu!!!!!!! Sijui wamesahau?????
angalia jina la hiyo jeziπππ Mmachinga huyo! CCM wanapenda watanzania tuwe maskini ndiyo maana wanampiga vita Mbowe. Yupo sana tu!
Huyu beki tatu wa mzungu lazima atawatoa nishai tu maccm, sasa wenyewe wanajidanganya kuwa wamelamba dumeCcm wanakuchora tuu sasa kama umeweza kukojoa ulipokuwa unalala unadhani ugenini utaacha ; ccm kuweni makini sana na huyu mtu so mzuri kabisa