Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Tumlaani kwa Jina la BwanaHuyu tumbili anamtafutia nini Mbowe naye ameshajipa kazi ya kumchafua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumlaani kwa Jina la BwanaHuyu tumbili anamtafutia nini Mbowe naye ameshajipa kazi ya kumchafua?
Kwanza anampigia ili waongee nini?Sioni huo ulazima mbona kila mtu ana haki na matumizi ya simu anayoimiliki.
Ukimpigia tu ukiona hapokei tuma sms.
Asipojibu mwache.
Hii tabia imekomaa sana miongoni mwetu kupangiana muda wa kupokea simu.
Huyu mjungaji ni shetani snLabda kaondoka na mimba changa anahitaji matunzo
Amen !!Tumlaani kwa Jina la Bwana
Akili zako na za msigwa zinafananaMwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
CHADEMA ilimbeba sn akajiona ni mkubwa kuliko CHADEMARev ameshindwa kabisa ku move one qmmk
Muda si mrefu anapoteaHuyu baba mbona ana nongwa?
Msigwa ni kichaaAkili zako na za msigwa zinafanana
Kahama huku CHADEMA ina mtesa snAmesahau nini Chadema??
Amwangalie mwenzake PenezaAmeshaishiwa pumzi kabla ya ligi kuanza.
Siyo kweli mbona Nyerere hakuwa fyatu?Ila ili uwe mwanasiasa inatakiwa ziwe zimefyatuka kichwani aisee🙆🙆
Labda kwako!Siyo kweli mbona Nyerere hakuwa fyatu?
Mkuu,Akili zako na za msigwa zinafanana
Mbona tayari, ile gia aliyoingia nayo kuwa atazunguka nchi nzima kumchafua Mbowe imeshafeli kwani mikutano yote aliyoifanya anarudia yale yale sasa analeta hili jipya kuwa Mbowe hapokei simu yake ina maana anataka Mbowe ampe madini ya ziada maana yale aliyoondoka nayo yameisha na hana jipya la kuwaaminisha mabwana zake wapya kuwa wamesajili jembe la kuisadia CCM.Muda si mrefu anapotea
Alishamjua ndo maana hakutaka kuangaaika naye. Msigwa ameona awahi manake Msukuma alishamwambia akichelewa chelewa yeye ataachia smsHuyu baba mbona ana nongwa?
msigwa na mboye walikua wameoana?Msigwa mambo yake yamekaa kama ya wanawake wale wa uswahilini, kawaida ukiachwa kubali kuachika hauna sababu ya kuanza kutangaza mambo ya ndoa yako
😅😅😅 X wako ukimwacha bila sababu za msingi lzm utesekee ,ndicho kinachomtesa msigwaHuyu baba mbona ana nongwa?