Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Angesema Mwenyekiti wake Samia hapokei angeeleweka, unampigia Mwenyekiti wa Chama kingine asipopokea unapiga yowe?Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''
----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.