Msigwa: Mbowe ananiogopa, hapokei simu zangu

Msigwa: Mbowe ananiogopa, hapokei simu zangu

Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Hawa ndiyo wakupimwa urine, kwani hajui ofisi ya Mbowe ilipo
 
Ameshaanza kummiss mwenyekiti, msigwa anataka japo asikie sauti ya mwenyekiti wake ampendaye, walio karibu na freeman mwelezeni msigwa kammiss sana
 
Msigwa, ukishajulikana kuwa wewe ni 'double dealer' hata Malaika wa mbinguni hawawezi kupokea simu zako!
 
Msigwa, ukishajulikana kuwa wewe ni 'double dealer' hata Malaika wa mbinguni hawawezi kupokea simu zako!
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Kama ulikuwa bado u
 
Apokee za kazu gani?

Anataka kumfahamisha kuwa

MUNGU HAWEZI KUONEKANA KWA MACHO. HAKUNA ALIYEMWONA MUNGU, KWA HIYO YESU SI MUNGU!

Yesu (AS) akasema; "Hakuna mtu ambaye amemwona Mungu wakati wowote." [Yohana 1:18]

Yesu (AS) akasema; "Si kwamba mtu amemwona Baba." [Yohana 6:46]

“Hakuna maono yanayoweza kumshika, bali Yeye hushika maono yote. Yeye ni Al-Latiif (Mpole na Mpole), Mjuzi wa kila kitu.” [Qur’ani 6:103]

“MUNGU akaendelea, “Lakini huenda usinione uso wangu. Hakuna anayeweza kuniona na kuishi.” [Kutoka 33:20]

“Mungu asiyeonekana.” [Wakolosai 1:15]

“Basi kwa Mfalme wa milele, asiyeweza kufa, asiyeonekana, Mungu pekee, na iwe heshima na utukufu milele na milele. [1 Timotheo 1:17]

Ambaye hakuna mtu aliyemwona wala awezaye kumwona.” [1 Timotheo 6:16]
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Msigwa wewe na Mbowe mlikwisha malizana bado nini!
 
Msigwa itakuwa anaanza kuchanganyikiwa. Kwani amesahau nini chadema?
Sometimes watu hawasomi historia, Msigwa amwangalie Zito Kabwe, Hana ushawishi na umaarufu kama ule aliokuwa nao Chadema tena! So kama yeye kaamua kuondoka basi atulie tu, ale makinikia yake kimya kimya.
 
Back
Top Bottom