Msigwa: Mbowe ananiogopa, hapokei simu zangu

Msigwa: Mbowe ananiogopa, hapokei simu zangu

Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Hata wanao kosa miradhi kwenye familia, hawa lalamiki kiasi hiki.
 
Ishu iko hivi, bei ya manunuzi Msigwa aliyokubaliana na waliomnunua ilikuwa M500 na akatanguliziwa M 200 nyingine baada ya mwezi mmoja kwa sharti kuwa aondoke na kijiji na kuwapa taarifa za siri za kumaliza utawala Mbowe na hatimaye kuimaliza kabisa Chadema. Mwezi umepita Msigwa akakumbushia maokoto yake ndiyo akaambiwa hajatimiza vigezo na masharti kwa muda waliokubaliana. Mzozo umefukuta chini chini lakini kwa herufi kubwa Msigwa akaelezwa kuwa hizo M 200 ndiyo wameshamaizana aendelee kuwa mwanachama mwaminifu kwani kuna watu wamekitumika chama hadi wanazeeka chama hakijawahi kuwapa hata M 10 kwa mpigo.

Sasa hili limemlemea Mchungaji Msigwa kwani hakuna namna anaweza kuweka shinikizo ili alipwe M 300 iliyobaki ndiyo mtu wake wa karibu huko CCM akamwambia mpigie simu Mbowe umueleze kweli wote ili ikiwezekana yeye atarudi Chadema then atauleza umma jinsi CCM inavyonunua wapinzani hasa Chadema.
Na mpango ukikamilika kati yake na Mbowe awatingishie kiberiti CCM kuwa anarudi Chadema na kwenda kutapika jinsi alivyonunuliwa hii ikiwa ina maana Msigwa anataka kuwa blackmail CCM. Mbowe naye kwa upande mwingine alivujishiwa mpango huo lakini atatumika tu kama chombo cha kushinikiza Msiwa alipwe M 300 anayowadai CCM. Mbowe ndiyo maana amemfungia vioo kwa kutopokea simu yake. Msigwa anacheza mchezo wa hatari sana ambao unaweza kuhatarisha maisha yake. Hbari ndiyo hiyo.
 
Ishu iko hivi, bei ya manunuzi Msigwa aliyokubaliana na waliomnunua ilikuwa M500 na akatanguliziwa M 200 nyingine baada ya mwezi mmoja kwa sharti kuwa aondoke na kijiji na kuwapa taarifa za siri za kumaliza utawala Mbowe na hatimaye kuimaliza kabisa Chadema. Mwezi umepita Msigwa akakumbushia maokoto yake ndiyo akaambiwa hajatimiza vigezo na masharti kwa muda waliokubaliana. Mzozo umefukuta chini chini lakini kwa herufi kubwa Msigwa akaelezwa kuwa hizo M 200 ndiyo wameshamaizana aendelee kuwa mwanachama mwaminifu kwani kuna watu wamekitumika chama hadi wanazeeka chama hakijawahi kuwapa hata M 10 kwa mpigo.

Sasa hili limemlemea Mchungaji Msigwa kwani hakuna namna anaweza kuweka shinikizo ili alipwe M 300 iliyobaki ndiyo mtu wake wa karibu huko CCM akamwambia mpigie simu Mbowe umueleze kweli wote ili ikiwezekana yeye atarudi Chadema then atauleza umma jinsi CCM inavyonunua wapinzani hasa Chadema.
Na mpango ukikamilika kati yake na Mbowe awatingishie kiberiti CCM kuwa anarudi Chadema na kwenda kutapika jinsi alivyonunuliwa hii ikiwa ina maana Msigwa anataka kuwa blackmail CCM. Mbowe naye kwa upande mwingine alivujishiwa mpango huo lakini atatumika tu kama chombo cha kushinikiza Msiwa alipwe M 300 anayowadai CCM. Mbowe ndiyo maana amemfungia vioo kwa kutopokea simu yake. Msigwa anacheza mchezo wa hatari sana ambao unaweza kuhatarisha maisha yake. Hbari ndiyo hiyo.
Sawa AJALI tu
 
Baada ya kusoma thread hii..kumbe ni msaga sumu ameaindika....,msaga sumu ni mzee wa joking ila kama mtu hapokei simu yako jibu ni hakutaki huna umuhimu kwake. Mbona Msaliti msigwa anakuwa na nongwa kama single maza aliyeachwa!
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
vip labda anataka ambembeleze mwamba ili arudi chamani
 
Mkuu, ndio amekubali kazi hiyo ya kumchafua lakini hana point.
Ndiyo maana wamegoma kummalizia hela waliyokubaliana kwani walitegemea angekuwa na some vital information lakini wamekuta ni zile zile wanazoimba wote wanaohamia huku. Na hata wenyewe CCM wanaanza kulaumina kuwa hela aliyolipwa ni nyingi sana kwani hajaleta jipya.
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Kutoka kwenye kubeba Biblia
IMG_2564.jpeg


Wakamuibua

IMG_2568.jpeg


Wakaanza kuyapitia machungu na furaha
IMG_2566.jpeg


IMG_2569.jpeg

Wengine nao wakaona atawafaa, wakamchukua
IMG_2570.jpeg


Ila wakamtoa ukumbini kwa madai kwamba amevaa kinyume cha maadili,.
Ikabidi atoke na kwenda kubadilishwa nguo

IMG_2571.jpeg


Sasa amepangiwa kituo chake kipya cha kazi, ila kwanza wamempeleka Chuo Cha Ukada akahitimu mafunzo

dac25c6b-05ab-4329-af3b-0497d13d1c20.jpeg

Mafunzo yanaendelea, kutoka kubeba na kutembeza Biblia hadi kutembeza picha za mama
 
Kutoka kwenye kubeba BibliaView attachment 3062703

Wakamuibua

View attachment 3062715

Wakaanza kuyapitia machungu ma furaha
View attachment 3062716

View attachment 3062717
Wengine nao wakaona atawafaa, wakamchukus
View attachment 3062720

Ila wakamtoa ukumbini kwa madai kwamba amevaa kinyume cha maadili,.
Ikabidi atoke na kwenda kubadikishwa nguo

View attachment 3062722

Sasa amepangiwa kituo chake kipya cha kazi, ila kwanza wamemprleka Chuo Cha Ukada akahitimu mafunzo

View attachment 3062723
Mafunzo yanaendelea, kutoka kubeba na kutembeza Biblia hadi kutembeza picha za mama
Anadhalilishwa na vijana wadogo
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Mbona anamsema mwenyekiti wake wa sasa kuwa amemtelekeza baada ya dili la kuhamia kijani kukamilika
 
Mwenyekiti amekuwa na hulka ya tofauti hivi karibuni, imepita takribani miezi sita hatuwasiliani na siyo mimi tu, sana sana tunaonana kwenye vikao vya kamati wakati mwingine akipigiwa simu hapokei hawasiliani na viongozi wenzake''

----
Mbòwe acha uoga, pokea simu za Msigwa.
Hata ningekuwa mimi ni mbowe nisingepokea maana ningeona umetumwa urecord mazungumzo uyarushe Live.
 
Back
Top Bottom