ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Anaekataa kuhamia CCM, anatungiwa majambo, sijui mlevi, sijui ...... na bunge linnaahilisha shughuli zote na kuwa vigodoro.Hilo linajulikana ndio ilikua kazi ya Polepole na Ndugai, waliokataa kununuliwa kama kuku sokoni, walikabiziwa kwa Bashite na Sabaya.
Mwendawazimu ni wa JEHANAMU milele na kizazi chake chote.
Huku Wasomi wetu na HASA Waandishi nguli, waliyostahili kuheshimiwa wakiwa wanashindana kumsifia Jiwe; "......amefanya makubwa........"
Enzi hii yastahili kujakumbukwa nyakati za giza kwa taifa hili.