Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama umechelewa sana kulitambua hiloKumbe Ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatumika kurubuni na kuwatisha Wabunge wetu ili wahamie CCM?
Lakini anaishi na muda wa kurudi Bungeni upo kama ni mzima wa afya tele atarudi tu Bungeni yule Kunguni wenu wa Chato cheo chochote cha duniani na mbinguni havimhusu kwa sasa kutokana na roho yake mbaya iliyojaa kiburi,ubabe,unafiki,uongo,uuaji,rushwa,dharau na kujimwambafai mwambafai.Zilipendwa huyo.
Kama aliambiwa hivyo na yakatimia sasa anataka nini tena?
Atwambie kama alikuwa nanhongwa au la?
Alitumia haki yake kugoma na cha moto alukiina ndo maana sasa sio mbunge
Nilikuwa nasubiri ushahidi tu.Ni kama umechelewa sana kulitambua hilo
Wewe ni shujaa wa Kifo?Kumbe hata wachungaji nao wanakuwaga wanafiki,muda wote alikuwa wapi kuyasema hayo???
Asitafute umaarufu baada ya JPM kufa..
Sijawahi ona mchungaji mnafiki kama huyu.
Wewe ni mbumbumbu na mpumbavu fulani wakati Magufuri anazuia mikutano ya kisiasa ulikuwa hujazaliwa? Kuminya uhuru wa vyombo vya habari ulikuwa ahera?? Ulitaka akaongelee chooni,au tumboni mwako??THINK TWICE.Kumbe hata wachungaji nao wanakuwaga wanafiki,muda wote alikuwa wapi kuyasema hayo???
Asitafute umaarufu baada ya JPM kufa..
Sijawahi ona mchungaji mnafiki kama huyu.
Magufuli alikuwa mwongo na kila kitu chake likikuwa cha uwongo. Hata afya yake ilikuwa uwongo, takwimu za uchumi zilikuwa za uwongo, makusanyo TRA nayo yalikuwa ya uwongoUkijua haya kuhusu dhalimu Magufuli, hutashangaa kwa matendo yake, tabia zake na kauli zake!
Kifupi alikuwa feki...! Adui wake mkubwa alikuwa ni yeyote aliyejaribu kumkosoa au kuhoji uhalisia wake huo!
- Malezi yake akiwa mtoto yalikuwa ya kuungaunga
- Ukabila wake ulikuwa wa kuungaunga
- Uraia wake ulikuwa wa kuungaunga
- Kusoma kwake kulikuwa kwa kuungauunga
- Shule alizosomea zilikuwa za kuungaunga
- Ufaulu wake kielimu ulikuwa wa kuungaunga
- Imani yake kidini ulikuwa wa kuungaunga
- Uongozi wake kifamilia ulikuwa wa kuungaunga
- Ukemia wake ulikuwa wa kuungaunga
- UPhD wake ulikuwa wa kuungaunga
- Lugha zote alizoongea zilikuwa za kuungaunga
- Kisiasa uCCM wake ulikuwa wa kuungaunga
- Ubunge wake ulikuwa wa kuungaunga
- Urais wake ulikuwa wa kuungaunga
Mkuu naona umeamua kumpa za uso kabisa 😄😄😄Ndio kazi ya mwenyekiti kushawishi wanachama kujiuunga... Chadema waliwaita wabunge wangapi wa CCM kujiunga nao mbona wao hawajitokezi kusema hayo... huu ni ucnge kama ulikataa si basi kinacho kuuma nini? Komaa usubili 2025 tuone kama utarudi jimboni! Pathetic
Mkuu Sky Eclat, kama uko karibu na mch msigwa please mwambie tunamtayarishia mazingira ya kumwezesha kugombea nafasi kubwa hapa nchini kwa hiyo aache siasa za kitoto kitoto, uropokaji na matusi (km yule chizi wa ubeleji). Mwambie awe anatema pointi na hoja zenye mashiko, badala ya porojo.View attachment 1817711
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Yaani kuitwa na mwenyekiti wa chama na kushawishiwa kujiuunga na chama chake ni wajibu wake mi sijaona kama ilikuwa jambo kubwa la ajabu kulifanya habari ya kishujaa.... Na uzuri akaambiwa upepo uko upande huu ukishupaza shingo utaisoma namba... Na kweli kaisoma, minyumbu inamsifia utadhani katoka jando.. full kuropoka.Mkuu naona umeamua kumpa za uso kabisa 😄😄😄
Wewe umekuwa Mungu?? Shetani mkubwa!Magufuli nna uhakika asilimia mia yuko motoni alikuwa shetani zaidi kuliko binadamu
Lakini kasubili mpaka baada ya JPM kuoza kaburini ndio anapayuka ka mwendawamu. Yaani nawadharau sana wanaotumia miguvu kupambana na wafu.Ila angeyatamka hayo baada tu ya kukataa, Kwa kuitisha press, ingemjengea heshima Sana.
Hili chungaji toto jinga sana.Siku ileile anayodai aliambiwa hivyo na spika angeenda kwenye vyombo vya habari ayaseme hayo anayoyasema.Na hata kama kuna kitu alipewa siku hiyo angekisema,siyo anatuibukia leo hii na ujinga wake.View attachment 1817711
Msigwa anaeleza jinsi ofisi ya Speaker ilivyotumika kuwashawishi Wabunge wa Upinzani hujiunga na CCM.
Kwa mazingira ya kipindi kile Cha mwenda zake hiyo press angeitishia wapIla angeyatamka hayo baada tu ya kukataa, Kwa kuitisha press, ingemjengea heshima Sana.