Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Fake news
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko serious mkuu? Maana there's no turning backNaomba uje PM unipe connection mkuu. Asante.
Alitolewa nje kabla gari haijalipuka! Wale warembo ndio walioteketea na moto.Kifo chake kibaya.. Yaan unaungua moto unachomeka na kulia kwa uchungu....
Hivi huwezi kuwatapeli mashetani.....Ule mbaya aisee. Kuna mmoja huo kama wa punje Ila unaoneshwa kabisa utakufa kifo cha Aina gani
Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye alikufa katika ajali ya gari Jumapili alikuwa ameripotiwa kununua jeneza lake wiki moja kabla ya kifo chake.
Kulingana na majukwaa ya habari ya Pindula, inadaiwa kuwa jeneza hilo lilipatikana katika moja ya vyumba vyake vya kulala kufuatia kifo chake.
Na ukweli kuhusu kifo chake ni kwambaa baada ya ajali na gari kushika moto ginimbi alifanikiwa kutoka nje ya gari, alichofanya ni kujaribu kuwafungulia milango rafiki zake wakati milango ya rolls royce ilikua imejilock basi ndipo mlipuko ukatokea na yeye akiwapo pale anaangaika kuwafungulia milango wenzie.
Hivyo habari za uzushi kua yawezekana alikosea masharti ni porojo tu, niseme upendo kwa wenzie ndio ulikua mkubwa zaidi, yeye kama yeye alishatoka nje tayari hivyo alikua na muda wa kusogea mbali zaidi na mlipuko.
Utajiri wa "jeneza" ni mzuri naupenda sababu hauna lawama.
R.I.P GINIMBI..you enjoyed life to the fullest.
So SAD😭😭😭RIP Ginimbi. Upendo wake Kwa Wengine umegharimu Kifo Chake. Ila nashindwa kuelewa Magari ya Kifahari nayo hulipuka?Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye alikufa katika ajali ya gari Jumapili alikuwa ameripotiwa kununua jeneza lake wiki moja kabla ya kifo chake.
Kulingana na majukwaa ya habari ya Pindula, inadaiwa kuwa jeneza hilo lilipatikana katika moja ya vyumba vyake vya kulala kufuatia kifo chake.
Na ukweli kuhusu kifo chake ni kwambaa baada ya ajali na gari kushika moto ginimbi alifanikiwa kutoka nje ya gari, alichofanya ni kujaribu kuwafungulia milango rafiki zake wakati milango ya rolls royce ilikua imejilock basi ndipo mlipuko ukatokea na yeye akiwapo pale anaangaika kuwafungulia milango wenzie.
Hivyo habari za uzushi kua yawezekana alikosea masharti ni porojo tu, niseme upendo kwa wenzie ndio ulikua mkubwa zaidi, yeye kama yeye alishatoka nje tayari hivyo alikua na muda wa kusogea mbali zaidi na mlipuko.
Utajiri wa "jeneza" ni mzuri naupenda sababu hauna lawama.
R.I.P GINIMBI..you enjoyed life to the fullest.
MaAfee angekuwa mwafriak tungesema ana pesa ya ndagu kakosea masharti kaanza kuwa chizi. Mayweather kwa matusi yake naye pia. Hat Kobe Bryant tungesema kifo chake si cha kawaidaLina chat a ya kifremason
😢 endelea kusubiri vya kuletewa babuupicha yake huyo ginimbi
What difference does this make!??Watu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye alikufa katika ajali ya gari Jumapili alikuwa ameripotiwa kununua jeneza lake wiki moja kabla ya kifo chake.
Kulingana na majukwaa ya habari ya Pindula, inadaiwa kuwa jeneza hilo lilipatikana katika moja ya vyumba vyake vya kulala kufuatia kifo chake.
Na ukweli kuhusu kifo chake ni kwambaa baada ya ajali na gari kushika moto ginimbi alifanikiwa kutoka nje ya gari, alichofanya ni kujaribu kuwafungulia milango rafiki zake wakati milango ya rolls royce ilikua imejilock basi ndipo mlipuko ukatokea na yeye akiwapo pale anaangaika kuwafungulia milango wenzie.
Hivyo habari za uzushi kua yawezekana alikosea masharti ni porojo tu, niseme upendo kwa wenzie ndio ulikua mkubwa zaidi, yeye kama yeye alishatoka nje tayari hivyo alikua na muda wa kusogea mbali zaidi na mlipuko.
Utajiri wa "jeneza" ni mzuri naupenda sababu hauna lawama.
R.I.P GINIMBI..you enjoyed life to the fullest.
Hilo ndo jeneza/casket lenyewe
View attachment 1625022
Hv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
Wako waliowahi kubahatika, ila mali zote zinakwenda na maji, pia kinachoshindikana ni kuwa hao mashetani ukumbuke ni roho kwahiyo yana uwezo hata wa kusoma mawazo yako, hivyo kabla hata hujachukua maamuzi unaweza kukuta wamekuteketeza...Hv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
kama Pepe Kale[emoji23][emoji23] alikuwa anakufa na kufufuka