Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
- Thread starter
- #41
Na kwanini uwafanyie hivyo .. sio vizuri. Wewe unainjoi maisha na kuwasetia mipango waliobaki walio na umuhimu kwako, ikifika muda wa kuondoka, unaondoka, shida ni nini kwani, ukiokoka ndio hautakufa?! Kufa mapema au kuchelewa kufa vyote sawaHv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp