Msijiulize sana, ni kweli GINIMBI alikuwa na jeneza kwenye chumba chake cha siri


Dah! Kumbe mshirikina!
 
So SAD😭😭😭RIP Ginimbi. Upendo wake Kwa Wengine umegharimu Kifo Chake. Ila nashindwa kuelewa Magari ya Kifahari nayo hulipuka?
 
Lina chat a ya kifremason
MaAfee angekuwa mwafriak tungesema ana pesa ya ndagu kakosea masharti kaanza kuwa chizi. Mayweather kwa matusi yake naye pia. Hat Kobe Bryant tungesema kifo chake si cha kawaida
 
What difference does this make!??
 
Labda uchukue hela za MAJINI hapa Tanzania alafu uwakimbie ukaishi nchi za mbali huko zenye baridi kaliiii[emoji16][emoji16][emoji16].
Alafu unakata mawasiliano yote na mganga kila wakitaka kukutafuta hawakuoni.
Hv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
 
Hv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
Wako waliowahi kubahatika, ila mali zote zinakwenda na maji, pia kinachoshindikana ni kuwa hao mashetani ukumbuke ni roho kwahiyo yana uwezo hata wa kusoma mawazo yako, hivyo kabla hata hujachukua maamuzi unaweza kukuta wamekuteketeza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…