Na kwanini uwafanyie hivyo .. sio vizuri. Wewe unainjoi maisha na kuwasetia mipango waliobaki walio na umuhimu kwako, ikifika muda wa kuondoka, unaondoka, shida ni nini kwani, ukiokoka ndio hautakufa?! Kufa mapema au kuchelewa kufa vyote sawaHv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
Ukifa mkuu na utajiri hufa pia kama wa kichawiNa kwanini uwafanyie hivyo ..sio vizuri. We we unainjoi maisha na kuwasetia mipango waliobaki walio na umuhimu kwako , ikifika muda wa kuondoka , unaondoka, shida ni nini kwani , ukiokoka ndio hautakufa?! Kufa mapema au kuchelewa kufa vyote sawa
mara paap unaokokea kwenye kanisa lao, si unajua wanampaka makanisa.Hv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
Kuna jamaa mmoja alienda na wenzake wawili kwenye pesa za kuku kudonoa mahindiHv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
Embu = Hebu
Ni mpumbavuh huyo jamaa. Japo asha rest in piece.Kuna jamaa mmoja alienda na wenzake wawili kwenye pesa za kuku kudonoa mahindi
Sasa wenzake kuku akala mahindi 5 na 6 Ila yeye kuku alikula punje moja tu.
Jamaa akachukua uamuzi wa kuokoka na akaamua kutoa ile siri ya wenzake. Yule mchungaji akapiga maombi Sana na jamaa akawa vizuri kabisa. Ila ilipotimia mwaka mmoja jamaa akafa kifo Cha ghafla tu
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] umewaza mbali sanaHv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
[emoji3][emoji3][emoji3] ilitokea mbeya hukoNi mpumbavuh huyo jamaa. Japo asha rest in piece.
Anyway ni wapi huko kwa babu
Duuh hapo inakuwa umekamatwa red handed....mara paap unaokokea kwenye kanisa lao, si unajua wanampaka makanisa.
Wala usihangaike sana PM we nenda Ilula pale kwa Mzee Makanyaga basi.. Bahati mbaya amefariki lakini watoto wake bado wapo wanaendeleza alichokua anakifanya baba yaoNaomba uje PM unipe connection mkuu. Asante.
Hii ni movie ya ki nigeria jamaa alikufa mbele ya mchungaji, mchungaji akaomba sana kumrudisha rohoni akaambiwa huyu mtu tayari ameshauza roho yake kwa hiari yake. Mungu anaheshimu maagano hawezi vunja agano lolote mtu akilifanya haijalishi na naniHv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
Mchungaji hakuvunja maagano,kuna nguvu ilikuwa bado inamfuatilia,hii ishu changamoto yake ni kupata mtumishi mwenye nguvu ya Mungu ndani yake,kuokoka tu pekeyake haitoshiKuna jamaa mmoja alienda na wenzake wawili kwenye pesa za kuku kudonoa mahindi
Sasa wenzake kuku akala mahindi 5 na 6 Ila yeye kuku alikula punje moja tu.
Jamaa akachukua uamuzi wa kuokoka na akaamua kutoa ile siri ya wenzake. Yule mchungaji akapiga maombi Sana na jamaa akawa vizuri kabisa. Ila ilipotimia mwaka mmoja jamaa akafa kifo Cha ghafla tu
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Mkuu naona unataka ujilipue...Naomba uje PM unipe connection mkuu. Asante.
Hata mimi najiuliza hivyo, tena yanajilokiSo SAD[emoji24][emoji24][emoji24]RIP Ginimbi. Upendo wake Kwa Wengine umegharimu Kifo Chake. Ila nashindwa kuelewa Magari ya Kifahari nayo hulipuka?
🤣🤣🤣🤣🤣 hayo mashetani sio wabongo wanao taperiliwa na watoto akina Mr KUKU, Ontario, na Tajiri Mahindi,Hv huwezi kuwatapeli mashetan.....
let say wanakupa utajiri wa punje ie contract ya miaka kumi mfano ukachukua fedha uka enjoy miaka tisa....
kabla mkataba haujaisha unaokoka hapo vp
unakuaje huo comradeWatu wamekua wakijiuliza kweli kama Bilionea huyu alikua na jeneza ndani..kutoka Makao Makuu Ya Zimbabwe Jijini Harare Mwanamitandao ya kijamii na mfanyabiashara, Genius Ginimbi Kadungure ambaye alikufa katika ajali ya gari Jumapili alikuwa ameripotiwa kununua jeneza lake wiki moja kabla ya kifo chake.
Kulingana na majukwaa ya habari ya Pindula, inadaiwa kuwa jeneza hilo lilipatikana katika moja ya vyumba vyake vya kulala kufuatia kifo chake.
Na ukweli kuhusu kifo chake ni kwambaa baada ya ajali na gari kushika moto ginimbi alifanikiwa kutoka nje ya gari, alichofanya ni kujaribu kuwafungulia milango rafiki zake wakati milango ya rolls royce ilikua imejilock basi ndipo mlipuko ukatokea na yeye akiwapo pale anaangaika kuwafungulia milango wenzie.
Hivyo habari za uzushi kua yawezekana alikosea masharti ni porojo tu, niseme upendo kwa wenzie ndio ulikua mkubwa zaidi, yeye kama yeye alishatoka nje tayari hivyo alikua na muda wa kusogea mbali zaidi na mlipuko.
Utajiri wa "jeneza" ni mzuri naupenda sababu hauna lawama.
R.I.P GINIMBI..you enjoyed life to the fullest.