Msikieni Shaffih Dauda kuhusu mauzo ya jezi za Yanga na Simba

Duh!..
 
NDYO TUPO BUSY ILA WANA SIMBA TUSISAHAU KUMPIGIA KURA BOULAYE DIA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Sasa wewe kwa jibu hili unakosaje kuwa Mbumbumbu wahed? Ukitaka kujua kundi la uneducated liko wapi jaribu kuul8zia check ya Bil 20 majibu yake ndio utajua
Haswaa
 
Kipimo cha jezi haziuziki ni kiduka cha Shaffih? Umeshaenda Sandaland au kwenye maduka yake Vunjabei ukapewa data ukajiridhisha kuwa mauzo yameshuka?
Weka ushabiki pembeni
 
swala la jezi tulishauza haki, so tumemuachia Fredi ni yeye kuamua afanyaje mzigo utoke. Huko sisi hatupo tushachukua na tunaendea kuchukua chetu.
 
Jezi za Simba zinauzika vizuri sana na vunja bei amekuja na strategic nzuri sana,juzi nilikuwa mwanza vunja bei alikuwa ana gari lake la matangazo aliuza jezi zote zilizokuwepo kwenye gari pamoja na kofia.

Achana na uyo muhaya mjuaji ambae kila kitu anajifanya anajua kwenye mpira!uongozi yeye anajua,biashara ya mpira yeye anajua,biashara ya jezi yeye anajua! Uyo ni mr much know.

Yeye na wahaya wenzake wakina Malinzi,Zamunda, ni aina ya watu mission town, ndio maana unaona hata wizara husika haijawahi kuwa serious nae, anajulikana ni Mr porojo tu, huoni watu serious wakina Ally Mayai wanapewa nafasi ili aweke talanta yake,yeye wanamuacha tu!

Dauda shafii ni aina ya watu dizaini ya Manara wana kelele nyingi ila hawana impact yeyote kwenye mpira wa kisasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…