Yuko kwenye biashara ya jezi anajua zaidi lakini one thing kuhusu shaffih dauda, anamchukia sana Barbra na kuna watu kule ndani ya simba baada ya mirija kukatwa wako radhi hata kumpiga uchawi yule bibie awe chizi na shaffih dauda ni mtu wao hilo liko wazi.
Ndiyo maana anapoulizaga simba kuko shwari? anajua anachokisema kabisa, sema safari hii zengwe lake kama lile alilolifanya kwa Ramadhan Singano Messi naona linashindikana.
Tatu ,sitashangaa mauzo kuwa chini sababu mkanganyiko uliojitokeza na watanzania kuwa na mzuka team ikichukua ubingwa, upepo huo uko yanga kwa sasa ila mashabiki wa simba watakuwa hawamtendei haki vunja bei kafanya kazi nzuri sana mwaka huu jezi kali sana