Msikieni Shaffih Dauda kuhusu mauzo ya jezi za Yanga na Simba

Msikieni Shaffih Dauda kuhusu mauzo ya jezi za Yanga na Simba

Tofauti na mitazamo watu

View attachment 2376650
"Nikwambie ukweli kabisa kutoka moyoni mwangu jezi za Yanga kweli zinatembea, hasa jezi za njano na nyeusi. Jezi za Simba hazitembei kabisa kama jezi za kijani za Yanga, zinaenda taratibu sana."

"Yanga jezi zao ni bora kuanzia kwenye wazo, muundo na jinsi Yanga walivyo vizuri kwenye kufanya biashara. Hawatengenezi jezi kwaajili ya manufaa yao, wamejipanga mzingo ukipatikana unaenda kwa wakati, super dealer amejipanga vizuri msimu huu."
Mkuu, uko tayari kwa matusi? Sasa hivi kila mahali ni Yanga tu, hata hao mikia wenyewe wanakiri hilo. Timu limepooza kama halipo, thread zote humu ni kuhusu ubora wa Yanga kila sekta. Asante mkuu ila subiri yaje yenye midomo michafu.
 
Rage hakukosea kabisa, na Mimi naongezea hapa...Tatizo lenu wengi ni Mbumbumbu, Shafii kauongea kitu kingine Mbumbumbu wako busy kumshambulia eti kakosa ulaji Simba, Yaani hata kwa kutumia akili za kuvukia barabara hata ya vumbi tu hili la jezi linahitaji mjadala? Na kwasasa Shafii na wengine wasifie kitu gani wakat Simba ipo kwenye mpito wa kukiweka kikosi chake vizur kama kile cha miaka 4 iliyopita.
Kuna muda jitahidini kauli ya Rage ifutike kwa vitendo.
Sana
 
Rage hakukosea kabisa, na Mimi naongezea hapa...Tatizo lenu wengi ni Mbumbumbu, Shafii kauongea kitu kingine Mbumbumbu wako busy kumshambulia eti kakosa ulaji Simba, Yaani hata kwa kutumia akili za kuvukia barabara hata ya vumbi tu hili la jezi linahitaji mjadala? Na kwasasa Shafii na wengine wasifie kitu gani wakat Simba ipo kwenye mpito wa kukiweka kikosi chake vizur kama kile cha miaka 4 iliyopita.
Kuna muda jitahidini kauli ya Rage ifutike kwa vitendo.
Luc Eymael alikuwa sahihi kabisa kuwaita nyie nyani,mbwa na uneducated
 
Mkuu, uko tayari kwa matusi? Sasa hivi kila mahali ni Yanga tu, hata hao mikia wenyewe wanakiri hilo. Timu limepooza kama halipo, thread zote humu ni kuhusu ubora wa Yanga kila sekta. Asante mkuu ila subiri yaje yenye midomo michafu.
Niko tayari kuyaoga matusi
 
Vunjabei msimu huu kuchelewa kuleta jersey kwa wakati kumegharimu sana mauzo ya jersey mara nyingi hamasa ya ununuzi wa jersey ni mwanzoni kabisa kabla ya ligi kuanza
 
ulisikia ile story ya ndondo cup mwaka jana fainali, team ya kina ali kiba na ile ya temeke kama sikosei.... sikuamini kama ile millions 20 mtu anataka apewe 10 la sivyo refa atawaminya , kina tegete walikuwa wakishika mpira ni filimbi tu wakafungwa sababu walikataa hilo sharti..nilivyoambiwa sikuamini lakini mmmmh
Daah! hahahahahaaa! kwa hiyo ukituliza tu filimbi!?
 
Vunjabei msimu huu kuchelewa kuleta jersey kwa wakati kumegharimu sana mauzo ya jersey mara nyingi hamasa ya ununuzi wa jersey ni mwanzoni kabisa kabla ya ligi kuanza
Ni kweli
 
"Nikwambie ukweli kabisa kutoka moyoni mwangu jezi za Yanga kweli zinatembea, hasa jezi za njano na nyeusi. Jezi za Simba hazitembei kabisa kama jezi za kijani za Yanga, zinaenda taratibu sana."
1664886942657.png
 
Katika football mchambuzi anakosa vya kuchambua mpaka anachambua jersey ndio maana namueshimu ambangile anaga swags za kijinga ukitaka kumuoji eleza mambo ya kimpira sio jersey ,soksi ,wachezaji walivyo nyoa ,hosteli ujinga mtupu
 
Katika football mchambuzi anakosa vya kuchambua mpaka anachambua jersey ndio maana namueshimu ambangile anaga swags za kijinga ukitaka kumuoji eleza mambo ya kimpira sio jersey ,soksi ,wachezaji walivyo nyoa ,hosteli ujinga mtupu
Kweli mkuu
 
Vunjabei msimu huu kuchelewa kuleta jersey kwa wakati kumegharimu sana mauzo ya jersey mara nyingi hamasa ya ununuzi wa jersey ni mwanzoni kabisa kabla ya ligi kuanza
Kipimo cha jezi haziuziki ni kiduka cha Shaffih? Umeshaenda Sandaland au kwenye maduka yake Vunjabei ukapewa data ukajiridhisha kuwa mauzo yameshuka?
 
Katika football mchambuzi anakosa vya kuchambua mpaka anachambua jersey ndio maana namueshimu ambangile anaga swags za kijinga ukitaka kumuoji eleza mambo ya kimpira sio jersey ,soksi ,wachezaji walivyo nyoa ,hosteli ujinga mtupu
Shaffih ana chuki binafsi na Barbra wala hatusumbui.Mwisho tunalazimika kuhoji hii hasira kwa Barbra ni swala la kunyimwa tenda ya jezi tu au alijaribu kutupa na kete nyingine akala za uso.
 
Rage hakukosea kabisa, na Mimi naongezea hapa...Tatizo lenu wengi ni Mbumbumbu, Shafii kauongea kitu kingine Mbumbumbu wako busy kumshambulia eti kakosa ulaji Simba, Yaani hata kwa kutumia akili za kuvukia barabara hata ya vumbi tu hili la jezi linahitaji mjadala? Na kwasasa Shafii na wengine wasifie kitu gani wakat Simba ipo kwenye mpito wa kukiweka kikosi chake vizur kama kile cha miaka 4 iliyopita.
Kuna muda jitahidini kauli ya Rage ifutike kwa vitendo.
Hata yule aliyewaita hamnazo hakukosea
 
Hili halina ubishi hata mitaani Jezi za Yanga zinatembea mno kuliko za Simba .
 
Back
Top Bottom