Msikilizeni Tundu Lisu ambaye anawatangazia kuwa hakuwa sehemu ya maridhiano, wala kumkaribisha Samia Bawacha, anamlaumu Mbowe na wenzake

Watanzania na Lisu tu.

Mzee Mbowe aende akauze maua Ulaya
 
hapana, mimi ni mzee wa miaka ... SIYO MBOWE ...nimekulia chadema, nawapenda Lisu na Mbowe na chadema team wote, ILA LISU AMENIKATA MAINI! ANAKANA ALIYOYASIMAMIA NA WENZAKE
Wewe si msikilizaji mzuri.Lissu alikuwa anatoa maelezo kwa tahadhari kubwa sana.Ndiyo maana akawa anamsifu Mbowe/mwenyekiti na kutoa tamko jumuishi kichama.Lakini,waliokuwa wanachukuliwa kama watu wema,si wema tena.
 
Duh asante sana Retired

Video hii imemuumbua vilivyo
Anasema, tumemwalika Samia kwa sababu amefanya makubwa kuliko marais wote.

Lissu ni muongo mzushi sana kazi yake ni kuzushia watu Ila kuna chawa wake hawaelewi, hana msimamo
 
Retired naona kipindi hiki uko kwenye hali ngumu sana. Pole ila nakuashauri upate muda wa kumpumzika kwani stress ulizonazo siyo kawaida.
 
Kuna members humu wananilaumu eti nimekuwa kigeugeu eti kwanini leo nimemgeuka Lissu, nimemgeuka kwa ajili ya haya,

Jana


Leo

 
Lucas Mwashambwa wa Mbowe unahangaika sana
 
Watanzania na Lisu tu.

Mzee Mbowe aende akauze maua Ulaya
beaten, ushaidi huo wa clip lazima ukoment hivyo and finally wewe ni mtoto sitasoma wala kujibu
 
Team Mbowe someni alama za Nyakati umma ukikutaa umekukataa haijalishi una chema gani, na umma ukikubali umekukubali haijalishi una mapungufu gani!.

JPM umma umemkubali licha ya mapungufu yake kibao
Mbowe umma umemkataa licha ya hayo mnayoona ni mazuri yake!

Kama Mbowe ni Pilau watu wameila kwa miaka 20 wameichoka, wanataka kubadili msosi, hata kama ni ugali kwa kachumbari watu wanaona sawa tu ilimradi wabadili msosi. Hivi kwani nyie hamuelewi wapi?
 
Lucas Mwashambwa wa Mbowe unahangaika sana
1., I need you to comment on this clip

2. speculation, mimi siyo Mbowe wala Mwashambwa. Lisu ana speculate mnamfuata na kumwamini kuwa anayosema ni kweli. bila ushahidi
 
Leo unamtag Hadi pascal mayalla🤔 Kweli umevurugwa
 
Retired naona kipindi hiki uko kwenye hali ngumu sana. Pole ila nakuashauri upate muda wa kumpumzika kwani stress ulizonazo siyo kawaida.
sina stress katu, nina raha sana, nakunywa wine yangu taratibu na christimas...
 
1., I need you to comment on this clip

2. speculation, mimi siyo Mbowe wala Mwashambwa. Lisu ana speculate mnamfuata na kumwamini kuwa anayosema ni kweli. bila ushahidi
1. Naamini anayosema Lissu kuwa CC ilipewa taarifa tu kuwa Samia amealikwa na kamwe haikushirikishwa kufikia maamuzi hayo.
2. Sijasema wewe ni Mbowe bali nimesema kwa sasa kwa jinsi unavyotiririsha mashambulizi kwa Lissu umeuvaa uhusika wa Lucas Mwashambwa ambaye ni chawa anayejaza mabandiko yako yake ya kichawa kwa Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…