EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hahaha dah tozo ni kizungumkutiHao Wababe Wacha Wabomoe Tu Hawana Tozo Za Miamala
Wametubana Mno CCM Mpaka Tumejaa HasiraHahaha dah tozo ni kizungumkuti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao Wababe Wacha Wabomoe Tu Hawana Tozo Za Miamala
Acha mkuu tufungue account bankWametubana Mno Ccm Mpaka Tumejaa Hasira
Wametubana Mno Ccm Mpaka Tumejaa Hasira
Thubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!Israelis Reportedly Allowed to Pray on the Temple Mount. Several Jewish people could be seen praying on the Temple Mount over the weekend; In addition to prayer, it’s reported that even Torah teachings have taken place...
Mkuu nini kilitangulia MSIKITI au HEKALU?Thubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
[emoji1756][emoji1756]Ngoja tuachane nao
Wayahudi wao ni wafuasi wa Torati ya Mussa sio wafuasi wa Mfalme Suleyman na enzi za Suleyman zimepitwa na wakati ikiwa wakidai hapo lilikuepo hekalu la mfalme Suleyman.Mkuu nini kilitangulia MSIKITI au HEKALU??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwaio HEKALU haliwahusu?? Kwann wanasali nje ya UKUTA wa MagharibiWayahudi wao ni wafuasi wa Torati ya Mussa sio wafuasi wa Mfalme Suleyman na enzi za Suleyman zimepitwa na wakati ikiwa wakidai hapo lilikuepo hekalu la mfalme Suleyman.
Mkuu hii ni mikwara yenu tu. Wayahudi huo msikiti muda ukifika watauvunja na hamtawafanya lolote. Mtaandamana tu huko Lahore, Kidongo chekundu, Tehran, Jakarta, Kabul n.k. Pale Maka na Madina wala hawataandamana kupinga uvunjanji wa Msikiti wa Al Aqsa.Thubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
kila siku mnalifuta,lakini wenyewe ndo wanazidi kujitanua na kukalia maeneo,endeleeni kujifariji.Thubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
Unaota?Thubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
Wazayuni unafiki,uchokozi na batili ndio unaowafanya waende wakasali hapo, sababu Mussa mfuasi wao wa TORATI hajawahi kusali hapo wanapodai ni hekalu la SOLOMON[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwaio HEKALU haliwahusu?? Kwann wanasali nje ya UKUTA wa Magharibi
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
WESTERN WALL
It is a relatively small segment of a far longer ancient retaining wall, known also in its entirety as the "Western Wall".[3] The wall was originally erected as part of the expansion of the Second Jewish Temple begun by Herod the Great,[4] which resulted in the encasement of the natural, steep hill known to Jews and Christians as the Temple Mount, in a huge rectangular structure topped by a flat platform, thus creating more space for the Temple itself, its auxiliary buildings, and crowds of worshipers and visitors.
Kitachafuka iyo sikuIsraelis Reportedly Allowed to Pray on the Temple Mount. Several Jewish people could be seen praying on the Temple Mount over the weekend; In addition to prayer, it’s reported that even Torah teachings have taken place; Cherki: The change in policy is “a revolution, unfolding quietly and gradually under the radar.” On what is the eve of Tisha B’Av, one of the saddest days [...]
The post Israelis Reportedly Allowed to Pray on the Temple Mount appeared first on Behold Israel .
Ni suala na muda tu na sasa naona kama majira yashatimia.
Tutajua kilianza HEKALU au msikiti?View attachment 1857741