Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu amebisha kwani?😝😝😝😝😝Mkuu amini!amini! amini! haya sio mawazo yetu, bali ni ufunuo kutoka kwa ALLAH kwenye QURAN tukufu kupitia mtume wake Muhammad(s a w)
Akijibu nipigie simu nimsikilize.😝😝😝😝😝Yaelekea unaijua vizuri historia ya haya mambo wewe na mleta UZI, hebu tufafanulieni, nini kilitangulia hapo? Msikiti wa Kiislamu au hekaru la Wayahudi? Tunahitaji ilimu hi tusioijua vizuri; ninacho kiona kwasasa mnabishana, tupeni elimu tafadhari
Tena anaota ndoto za mchanaUnaota?
Mkuu kila kilichotabiriwa kwenye Biblia Ni LAZIMA kama bado hakijatokea, basi ni kitakuja kutokea tu hata kama itapita miaka mingi. Haijalishi wanadamu watapinga kwa nguvu au uwezo wao wote.Thubutu yao! nyie wadhalim Wazayuni, wazayuni,wazayuni nawaita mara 3, siku mkithubutu kuvunja msikiti mtakatifu wa AL-AQSA, mjuwe kuwa ndio siku litakalofutika taifa lenu batili la ISRAEL na nyie na vibaraka wenu mtapuputika mithili ya majani ya kipupwe!
Hili swali Ni la kipuuzi Sana...Dini ya misikiti imeanza mwaka 600AD, Dini ya mahekalu imekuwepo tokea 2000BCMkuu nini kilitangulia MSIKITI au HEKALU??
Siyo swali la kipuuzi.Linatakiwa lijibiwe vema.Maana kuna dini zimeletwa juzijuzi tu ila ni wasumbufu sana.Hili swali Ni la kipuuzi Sana...Dini ya misikiti imeanza mwaka 600AD, Dini ya mahekalu imekuwepo tokea 2000BC
Bado hatujabanwa vizuri, mama akaze nut hadi akili itukae tutoke mtaaniWametubana Mno Ccm Mpaka Tumejaa Hasira
Sijui anaota akiwa wapi.Tena anaota ndoto za mchana
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Simuiti huyo.Jina lenyewe la kuungaunga.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Yes...Ni ufunuo wangu.. sema siku iyo nafunua msuli nilikuwa nimeshiba maharageMkuu amini!amini! amini! haya sio mawazo yetu, bali ni ufunuo kutoka kwa ALLAH kwenye QURAN tukufu kupitia mtume wake Muhammad(s a w)
Najibu! Roma zamani (Vatican)ilikuwa makao makuu ya miungu ya warumi, leo hii ni makao makuu ya Christian Roman catholic church na kanisa kuu ST. PETER ndio limejengwa hakuna tena habari ya miungu ya WARUMI. basi na hekalu la SOLOMON nalo lipo kihivo hakusalia Mosses wala JESUS, sasa iweje leo wazayuni wadai kuwa ni sehemu yetu takatifu nawakati MUHAMMAD kaujenga msikiti mtakatifu na wao walikua wapi?Akijibu nipigie simu nimsikilize.[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji41][emoji41]Nani huwa anakudanganya?Wenzio wanapokea vichapo kiiilaa siku huko.Weye umekaa unakula mihogo kivunde na changudoa tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una mtindio?Najibu! Roma zamani (Vatican)ilikuwa makao makuu ya miungu ya warumi, leo hii ni makao makuu ya Christian Roman catholic church na kanisa kuu ST. PETER ndio limejengwa hakuna tena habari ya miungu ya WARUMI. basi na hekalu la SOLOMON nalo lipo kihivo hakusalia Mosses wala JESUS, sasa iweje leo wazayuni wadai kuwa ni sehemu yetu takatifu nawakati MUHAMMAD kaujenga msikiti mtakatifu na wao walikua wapi?
Mkuu, sikuchukulii kama unanitukana bali nikawaida majahili wasiojua, huwachukulia wanaojua kuwa ni wenye mtindio ya ubongoUna mtindio?
Wewe unajua Nini?Mkuu, sikuchukulii kama unanitukana bali nikawaida majahili wasiojua, huwachukulia wanaojua kuwa ni wenye mtindio ya ubongo
Ulielewa swali?Najibu! Roma zamani (Vatican)ilikuwa makao makuu ya miungu ya warumi, leo hii ni makao makuu ya Christian Roman catholic church na kanisa kuu ST. PETER ndio limejengwa hakuna tena habari ya miungu ya WARUMI. basi na hekalu la SOLOMON nalo lipo kihivo hakusalia Mosses wala JESUS, sasa iweje leo wazayuni wadai kuwa ni sehemu yetu takatifu nawakati MUHAMMAD kaujenga msikiti mtakatifu na wao walikua wapi?
Mkuu ujue pia, kilichoandikwa kwenye QURAN TUKUFU(MSAHAFU MTAKATIFU)hakiwezi kupadilika na itatokea kama kilvyo bainishwa na ALLAH. kwa vile Quds(Jerusalem) ni mji wa kiislam na AL-AQSA ni pahala takatifu na msikiti mtakatifu wa waislam!Mkuu kila kilichotabiriwa kwenye Biblia Ni LAZIMA kama bado hakijatokea, basi ni kitakuja kutokea tu hata kama itapita miaka mingi. Haijalishi wanadamu watapinga kwa nguvu au uwezo wao wote.
Sule alikuwa mfalme wa Saudi au wa Israel? Sasa watu wanamuenzi mfalme wao we kinakuuma nini. Ni kama nyie mnavyomuenzi JIWE kwa kumjengea SANAMUWayahudi wao ni wafuasi wa Torati ya Mussa sio wafuasi wa Mfalme Suleyman na enzi za Suleyman zimepitwa na wakati ikiwa wakidai hapo lilikuepo hekalu la mfalme Suleyman.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mo aliujenga lini?Najibu! Roma zamani (Vatican)ilikuwa makao makuu ya miungu ya warumi, leo hii ni makao makuu ya Christian Roman catholic church na kanisa kuu ST. PETER ndio limejengwa hakuna tena habari ya miungu ya WARUMI. basi na hekalu la SOLOMON nalo lipo kihivo hakusalia Mosses wala JESUS, sasa iweje leo wazayuni wadai kuwa ni sehemu yetu takatifu nawakati MUHAMMAD kaujenga msikiti mtakatifu na wao walikua wapi?