Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Hivi unajua kwamba siku hizi pale Mecca kuna bonge la Club na Cassino? Na kila mwaka wasanii wakubwa kutoka Marekani huwa wanakwenda kupiga bongo la shoo tena in public?Mkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!