Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Msikiti wa AQSA kubomolewa na Hekalu la Suleiman kujengwa upya

Mkuu ole wake! Mzayuni kusubutu kufanya hivyo, akija kuthubutu ndio utakua wakati wa taifa dhaalim la ISRAEL kusambaratika uislam kutawala dunia na myahudi atakapo silimu na kusalimu amri!
Hivi unajua kwamba siku hizi pale Mecca kuna bonge la Club na Cassino? Na kila mwaka wasanii wakubwa kutoka Marekani huwa wanakwenda kupiga bongo la shoo tena in public?
 
Hivi unajua kwamba siku hizi pale Mecca kuna bonge la Club na Cassino? Na kila mwaka watu wasanii wajubwa kutoka Marekani huwa wanakwenda kupiga bongo la shoo tena in public?
Mkuu tafautisha nchi ya Saudia na miji mitakatifu ya Mecca na Madina na miji mingine ya nchi ya Saudia.
Mji mkuu Riyadh ndio makao makuu ya nchi na ni mji wa kimataifa ndio utakuta balozi mbalimbali zinapatika hapo pengine hizo club na casino zinapatikana(sio kweli) ila mji wa Maka mambo ya kishetani hayaruhusiwi! na hata makafiri hawaruhusiwi(wasiokua waislamu)kuingia Maka.
 
Mkuu tafautisha nchi ya Saudia na miji mitakatifu ya Mecca na Madina na miji mingine ya nchi ya Saudia.
Mji mkuu Riyadh ndio makao makuu ya nchi na ni mji wa kimataifa ndio utakuta balozi mbalimbali zinapatika hapo pengine hizo club na casino zinapatikana(sio kweli) ila mji wa Maka mambo ya kishetani hayaruhusiwi! na hata makafiri hawaruhusiwi(wasiokua waislamu)kuingia Maka.
Mkuu, siku hizi Mecca ni kama Miami tu. Wakina Neyo, Chriss Brown, Amber Rose na wengineo hawapungui kwa safari za huko

 
Mkuu tafautisha Msikiti wa AYODHYA uliovunjwa na makafiri wa kihindu na msikiti mtakatifu wa Al-Aqsa wapili kwa utakatifu kwa waislam. Al-Aqsa ukivunjwa wallahi Israel itachimbika!
Unaposema ni msikiti mtakatifu kwa waislam usifikiri na wao wanajali hilo, mambo ya mtume hawana habari nayo wanataka hekalu lijengwe hapo.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ujue pia, kilichoandikwa kwenye QURAN TUKUFU(MSAHAFU MTAKATIFU)hakiwezi kupadilika na itatokea kama kilvyo bainishwa na ALLAH. kwa vile Quds(Jerusalem) ni mji wa kiislam na AL-AQSA ni pahala takatifu na msikiti mtakatifu wa waislam!
Mpaka jua kuzama kwenye tope haijabadilika mpaka leo?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Vita ya 3 itaanza endapo China Na Urusi Na Korea wataona Kuna faida kuingilia...ila wakikaa kimya labda Iran Na Israel Tu ndo kutatokea mtafaruku ila wengine waliyobaki wataweka mikia katikati ya miguu
Iran mzinguaji wala hana uwezo wa kuingilia hiyo vita. Sema katika Uislam lazima ije vita ya Myahudi na Muislam,
Hii vita itakuwa inanukia
 
Mkuu ujue pia, kilichoandikwa kwenye QURAN TUKUFU(MSAHAFU MTAKATIFU)hakiwezi kupadilika na itatokea kama kilvyo bainishwa na ALLAH. kwa vile Quds(Jerusalem) ni mji wa kiislam na AL-AQSA ni pahala takatifu na msikiti mtakatifu wa waislam!
Misahafu yenyewe imebadilishwa badilisha kinyama...Kuna maverse Allah aliyashusha leo hayamo hata kwenye Quran...Quran zenyewe zipo kibao Na zinatofautiana kinyama
 
Tupe ushahidi wa hili.

Tuletee hizo verses pamoja na ushahidi

Tuoneshe hzo Qur'an tofauti,, pamoja na ushahidi...

If you assert a claim without valid proof, then it is considered void
Kwani ni Kwa asilimia ngapi unahisi nachosema Ni uongo?
 
Kwani nikiwa nina doubt au Sina, je, hilo litaondoa burden ya ww kutuletea ushahidi wa uzushi wako ?
Ahaa kumbe Ni uzushi?
Okay kabla sijaprove niambie Ni Kwa % ngapi unahakika Ni uzushi?
Mbona swali simple Tu? Mimi ndo nna Kazi kubwa wewe Ni kuweka asilimia Tu Mimi nashusha maproof
 
Ahaa kumbe Ni uzushi?
Okay kabla sijaprove niambie Ni Kwa % ngapi unahakika Ni uzushi?
Mbona swali simple Tu? Mimi ndo nna Kazi kubwa wewe Ni kuweka asilimia Tu Mimi nashusha maproof
Kwani kutaja asilimia kunahusiana vp na ww kutuletea ushahidi ? ..
 
Hivi unajua kwamba siku hizi pale Mecca kuna bonge la Club na Cassino? Na kila mwaka watu wasanii wajubwa kutoka Marekani huwa wanakwenda kupiga bongo la shoo tena in public?
Siyo kweli unayoyasema labda iwe nje ya hapo..! Aneo hilo hata asiyekuwa muislam haruhusiwi kuingia
 
Back
Top Bottom