Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Kuna Undeniable facts...mtu akiishi pangoni anaweza bisha hamna jua..ukimtoa akaliona mwenyewe atabisha?Kwani mm nimesema nataka uni-convince ?.... Kukubali au kutokukubali hilo ni juu yangu
Sasa kumtoa kumuonesha hiyo Ni juhudi ya 100%...kumuonesha kwenye simu picha ya jua Ni juhudi ya 30%...kumuaminisha Kwa maneno tupu Na kuapa wallahi Ni juhudi 10%