Msikubali Teuzi , zitakazowasababisha mpoteze nafasi ya awali siku mkitenguliwa mkakosa vyote.
Nawashauri sana, msikubali teuzi zitakazowavua nafaso zenu za awali mlizokuwa nazo ili mtumikie teuzi (nafasi mpya) siku mkija tenguliwa katika nafasi hizo mtajikuta nmekosaa vyote na mtaalazimishwa kustaafishwa kabla ya wakati
Tusiwe na tamaa kubali kidogo ulichonacho kama bado haujajipanga mbeleni..
Nawashauri sana, msikubali teuzi zitakazowavua nafaso zenu za awali mlizokuwa nazo ili mtumikie teuzi (nafasi mpya) siku mkija tenguliwa katika nafasi hizo mtajikuta nmekosaa vyote na mtaalazimishwa kustaafishwa kabla ya wakati
Tusiwe na tamaa kubali kidogo ulichonacho kama bado haujajipanga mbeleni..