- Thread starter
- #21
Kesi yake ni ya msingi, lakini kwa sheria na katiba yetu ilivyo inaweza mchelewesha kupata haki yakeNdio maana aliyekuwa DC wa Tabora kaishitaki MAMLAKA ya uteuzi mahakani hii imekaaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi yake ni ya msingi, lakini kwa sheria na katiba yetu ilivyo inaweza mchelewesha kupata haki yakeNdio maana aliyekuwa DC wa Tabora kaishitaki MAMLAKA ya uteuzi mahakani hii imekaaje
Hapana ni tigo na bado yupo Mwanza.Yeye alitaka kugombea Ubunge Jimbo la Urambo ashindane na Mzee Kapuya or Mama Sita akashauriwa awaachie kwanza wazee,akajionea michosho tu na alipoteuliwa akamshukuru Rais lakini hakukubali ule uteuzi.Ilikuwa Vodacom yule jamaa sema aliona mbali
Wakati lema angeshinda yeye pekeake angejiita jeshi la mtu mmoja na kizama mjengoni kula miposhoYaani nikatae teuzi kisa Nini?
Umenikumbusha Chadema walimwambia Aida kenan agomee ubunge , ili awe jobless kisa kuwafurahisha watu
Alikua mwalimu....🙄Alikua nan kabla
Ali Maswanya...Kuna meneja wa tigo kanda ya ziwa huko alikataa uteuzi kuwa DED kipindi cha jiwe na maisha yanaenda.
Vipi kuhusu Gabriel Zacharia aliyekuwa tbc??mbona shaaban kisu karudi zake tbc anaendelea kupiga mzigo!? au umesahau kuwa novatus makunga yupo zake arusha akiripoti habari channel ten ingawa mwanzoni alikuwa itv?
Huyu ndiyo kapotea kabisa. Atapoteza hata kidogo alicho nachoNdio maana aliyekuwa DC wa Tabora kaishitaki MAMLAKA ya uteuzi mahakani hii imekaaje
Alikuwa na ajira yake na aki na Goodwin Gondwe.Alikua nan kabla
Kwanini wakati ni moja ya kazi yenye malipo vizuri ww huoni wakitajirika rejea makonda, yule mkuu wa wilaya jimbo la kina Mbowe, na wenvine wengi.Hakuna kazi za hovyo kama ukuu wa wilaya ,ukuu wa mkoa na ukurugenzi wa halmashauri!!! Ni kazi za hovyo mno