Ukikataa teuzi utaundiwa zengwe sio la nchi hii yajayo yanafurahisha sio kwa bongo hii hiyo inaitwa win or lose.Msikubali Teuzi , zitakazowasababisha mpoteze nafasi ya awali siku mkitenguliwa mkakosa vyote.
Nawashauri sana, msikubali teuzi zitakazowavua nafaso zenu za awali mlizokuwa nazo ili mtumikie teuzi (nafasi mpya) siku mkija tenguliwa katika nafasi hizo mtajikuta nmekosaa vyote na mtaalazimishwa kustaafishwa kabla ya wakati
Tusiwe na tamaa kubali kidogo ulichonacho kama bado haujajipanga mbeleni..
Ukikataa teuzi utaundiwa zengwe sio la nchi hii yajayo yanafurahisha sio kwa bongo hii hiyo inaitwa win or lose.
Hahahahahahaa dahWe utakuwa unamwambia Jerry Muro.
Kubali teuzi then nenda kafanye kazi kwa maadili utadumu na utapata teuzi kubwa zaidiMsikubali Teuzi , zitakazowasababisha mpoteze nafasi ya awali siku mkitenguliwa mkakosa vyote.
Nawashauri sana, msikubali teuzi zitakazowavua nafaso zenu za awali mlizokuwa nazo ili mtumikie teuzi (nafasi mpya) siku mkija tenguliwa katika nafasi hizo mtajikuta nmekosaa vyote na mtaalazimishwa kustaafishwa kabla ya wakati
Tusiwe na tamaa kubali kidogo ulichonacho kama bado haujajipanga mbeleni..
Hawajawahi kumwambia agomee ubunge. Walimuacha aamue na wakasema wao wataheshimu maamuzi yake.Yaani nikatae teuzi kisa Nini?
Umenikumbusha Chadema walimwambia Aida kenan agomee ubunge , ili awe jobless kisa kuwafurahisha watu
We hujaona wale walimu walitaka kukataa teuzi uliona mkwara waliopigwa siku ile mpaka waka surrender.Ipi bora kupata Teuzi utakayoifanyia kazi kwa wasiwasi muda wowote kuondolewa au ubaki na kazi uliisomea na uliyokuwa mayo kabla ya teuzi..
Basi iwepo sheria yeyote atakayetenguliwa basi aendelee na majukumu take ya awali kabla ya teuzi
Labda kama upo sekta binafsi yaani unafanya kazi serikalini halafu upewe teuzi ukatae utaundiwa zengwe hautaamini macho yko.kabisa wapo wachache waliowai kukataa teuzi.tena kama hizi teuzi za ukuu wa mkoa au wilaya kama una kazi yako nzuri sio za kukimbilia.
Ilikuwa Vodacom yule jamaa sema aliona mbaliKuna meneja wa tigo kanda ya ziwa huko alikataa uteuzi kuwa DED kipindi cha jiwe na maisha yanaenda.
We utakuwa unamwambia Jerry Muro.
Na yule aliyejaza nafasi yako ulipoteuliwa aende wapi?Lazima wabadilishe waweke ukitenguliwa utarudi kwenye nafasi yako ya awali