Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mbona mimi huwa sibishani na wapuuzi? Wewe sio level yangu kabisa aiseee. Tafuta wa kubishana naesi ndio nyoka wenu wa shaba yule??
oanisha kilichopo na nilichoandika, wacha kuwa na akili iliyopooza.
nilimuona kikwete hana muda kabisaHuyu msimamizi ameaamngalia mbali. John anaa ngushwa uchaguzi huu. Kumbe hata watu waliohudhuria uzinduzi kule Dodoma walilazimishwa.
View attachment 1552628
Fake
Original ni ipi?Fake
Mingu ambariki msimamizi.Hakika ufalme wa mbingu ni wake.Bwana Hamsini amefuta mapingamizi yote hapa Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake,amesema yeye hana na hataki kujijengea chuki kwa kufuata maelekezo ktoka juu,kuenguana wataenguliwa kwenye sanduku la kura na sio yeye.Ametupilia mbali mapingamizi yote,yaliyowekwa na CCM.
Hongera sana Bwana Hamsini umejitenganisha na wajumbe na kweli wapo watu wanajua kurekebisha usawa.
nakumbuka kitabu cha Mbutolwe mwana wa Umma.
Bwana Hamsini amefuta mapingamizi yote hapa Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake,amesema yeye hana na hataki kujijengea chuki kwa kufuata maelekezo ktoka juu,kuenguana wataenguliwa kwenye sanduku la kura na sio yeye.Ametupilia mbali mapingamizi yote,yaliyowekwa na CCM.
Hongera sana Bwana Hamsini umejitenganisha na wajumbe na kweli wapo watu wanajua kurekebisha usawa.
nakumbuka kitabu cha Mbutolwe mwana wa Umma.
Usiishi kwa mazoeasi ndio nyoka wenu wa shaba yule??
oanisha kilichopo na nilichoandika, wacha kuwa na akili iliyopooza.
Bora upoteze ajira kuliko upoteze uhai.Huenda hiyo kanda wananchi wameapa kufanya kitu mbayaIla yawezekana ikawa ndo mwisho wa ajira yake... ( ..kapewa gari, analipwa mshahara... kwanini afanye hivii...? )
Unafanya stori yako yote idharaulike kutokana na kukosea mambo muhimu ndani ya stori.Huyo akiachwa kwenye nafasi yake itakuwa ni ajabu ya mwaka.
Katika chaguzi zilizopita, mkuu wa polisi Arusha(Shana..kama sijakosea) alienguliwa kwenye nafasi yake baada ya kusimama imara kwenye maadili ya kazi yake, hali ambayo ilisababisha Lema kutangazwa mshindi wa ubunge Arusha mjini kinyume na jinsi ccm walivyokuwa wanataka.
Leta original
Wee mtu gani yuko ofisini kabisa anaandika 'Rasi' badala ya 'RAS'Original ni ipi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa anachati....baada ya mjomba kumaliza kuimba meza kuu wote walipiga makofi kasoro yeyenilimuona kikwete hana muda kabisa
Kuna clip ya sauti yake angalau nisikie Happ aliposema hataki kufata maelekezo toka juu?Bwana Hamsini amefuta mapingamizi yote hapa Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake, amesema yeye hana na hataki kujijengea chuki kwa kufuata maelekezo ktoka juu, kuenguana wataenguliwa kwenye sanduku la kura na sio yeye. Ametupilia mbali mapingamizi yote,yaliyowekwa na CCM.
Hongera sana Bwana Hamsini umejitenganisha na wajumbe na kweli wapo watu wanajua kurekebisha usawa. Nakumbuka kitabu cha Mbutolwe mwana wa Umma.
Hata kama ame futa. Kinacho fuata mtaingia kwenye uchaguzi huku mkimsifu, na dunia kuona demokrasia imerudi Tz. Siku ya uchaguzi hamta tangazwa.. Mna hitaji kuwa na kikao cha. Mkakati na NEC kuwekana sawa. Jana mmeskia yule mgonjwa wa Kongwa ambae hatujui ana umwa nini jinsi alivyo ongea utaahira wake.. Kuna jambo hawa manyumbu wameliandaa. Wapinzani amkeni. Msilalamike mitandsoni tuu. Chukueni hatua zaidi ya kulalamika.Bwana Hamsini amefuta mapingamizi yote hapa Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake, amesema yeye hana na hataki kujijengea chuki kwa kufuata maelekezo ktoka juu, kuenguana wataenguliwa kwenye sanduku la kura na sio yeye. Ametupilia mbali mapingamizi yote,yaliyowekwa na CCM.
Hongera sana Bwana Hamsini umejitenganisha na wajumbe na kweli wapo watu wanajua kurekebisha usawa. Nakumbuka kitabu cha Mbutolwe mwana wa Umma.
Safi sana bora kuenguwana kwenye sanduku la kuraBwana Hamsini amefuta mapingamizi yote hapa Serengeti na kumtaka kila mgombea apigane na hali yake, amesema yeye hana na hataki kujijengea chuki kwa kufuata maelekezo ktoka juu, kuenguana wataenguliwa kwenye sanduku la kura na sio yeye. Ametupilia mbali mapingamizi yote,yaliyowekwa na CCM.
Hongera sana Bwana Hamsini umejitenganisha na wajumbe na kweli wapo watu wanajua kurekebisha usawa. Nakumbuka kitabu cha Mbutolwe mwana wa Umma.
Huyu chizi tahahiraKigogo ameingiaje hapa? Soma kilicholetwa na jibu au jadili accordingly
Mitoto ya kishetani ya Lumumba uzi huu yanauangalia kimya kimya.Very good news. Shame on you ccm
Misukule ya lumumba🤔🤔Mitoto ya kishetani ya Lumumba uzi huu yanauangalia kimya kimya.